Tv Inch 27 au 28 inahitajika

Tv Inch 27 au 28 inahitajika

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,976
Wadau habari za jioni?

Ninahitaji kununua Tv Inch 27 au 28, ambayo ni flat,haina chogo,iwe na rimoti yake inayofanya kazi,iwe haijawahi kufunguliwa.

Ikiwa mpya kwenye box lake itakuwa vizuri zaidi.

Kama unayo nipe aina yake na bei yako,pia nitumie na picha yake.

Napatikana Arusha kwa sasa.

Mwasiliano: 0752489529 au NI PM.
Asanteni.
 
Labda tujue kwa nini hutaki ya dukani....
 
Mimi niko nachingwea kwenye kijiji cha Lionja, ninayo LG Tv 37 inch mpya kabisa (only used for a week) kwenye box lake kwa sh 200000 ukitaka njoo chukua, i have only 3days kabla sijaondoka nchini.
 
Mimi niko nachingwea kwenye kijiji cha Lionja, ninayo LG Tv 37 inch mpya kabisa (only used for a week) kwenye box lake kwa sh 200000 ukitaka njoo chukua, i have only 3days kabla sijaondoka nchini.

Hyo ni flat kweli!!!!???
 
dyuteromaikota, flat ya ukweli, tena slim na mpya kabisa.

download.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mimi niko nachingwea kwenye kijiji cha Lionja, ninayo LG Tv 37 inch mpya kabisa (only used for a week) kwenye box lake kwa sh 200000 ukitaka njoo chukua, i have only 3days kabla sijaondoka nchini.

Ntakupa laki tatu mkuu, na tiketi ya kwenda nje ya nchi pamoja na hela ya kula safarini fanya haraka nina siku moja tu kabla sijaenda kununua mpya dukan.
 
Ntakupa laki tatu mkuu, na tiketi ya kwenda nje ya nchi pamoja na hela ya kula safarini fanya haraka nina siku moja tu kabla sijaenda kununua mpya dukan.
hapana, hela ya kula safarini usinipe kwamaana kwenye ndege wana include kwenye ticket. ngoja nikutumie Tv yako kwa mpesa sasa hivi, naomba nambar yako ya simu na password ya mpesa, hata ya tigo pesa au airtel money ni powa pia
 
Wadau acheni utani na dhihaka kwenue uzi huu.


hapana, hela ya kula safarini usinipe kwamaana kwenye ndege wana include kwenye ticket. ngoja nikutumie Tv yako kwa mpesa sasa hivi, naomba nambar yako ya simu na password ya mpesa, hata ya tigo pesa au airtel money ni powa pia
 
Wadau acheni utani na dhihaka kwenue uzi huu.

Acha watanie kwani hata mleta uzi hayuko serious..anataka bidhaa mpya kwenye box si aende madukani..hivi Arusha kweli hawezi kupata kweli!?
 
Wadau acheni utani na dhihaka kwenue uzi huu.
Nawewe hujui kuwa uzi huu ni wautani? yeye hajui maduka ya kuuzia tv huko Arusha, TV zinauzwa mpaka na machinga na hata za mtumba kibao tu, hata akitaka za wizi zipo ngarenaro. hapa angeomba ushauri kuhusi aina za TV ili akanunue.
 
Mm ninayo tcl 32" led tv nauza 450000 niko dsm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom