TV Imaan Hewani, Hongera

Status
Not open for further replies.
Shukran sana

Haya ndio majibu yenu!

Ahsante sasa weka aya uliyokuwa inaisema hapa:

By Eiyer

Si ni Quran hii hii ambayo inadai kuwa rahisi kueleweka?

Sasa kama ni hivyo,yanini tena kutafuta watu wanieleweshe kitu ambacho ni rahisi kueleweka?


Tuwekee hiyo aya, kwa ukamilifu wake.

Vipi? imekuwa ngumu kwako?
 
Karibu Tv imani ila natumaini Bwana Yesu atawajalia hekima na nguvu ktk kuendesha vipindi vyenu salama na kwa ufanisi zaidi.

Hongera Tv Imani.

Kuwa na adabu basi bwana Yesu, Yesu, Yesu, Bwana Yesu ni kitu gani!!!!!!
 
Tv station moja tu,mnatukana hv je zikiwa tatu?mbona wenzetu mnazo nyingi sana na wala hatuwakashifu?acheni hizooo.Ninyi mna dini yenu na mimi nna yangu.
 

TV ndo iko hewani sasa.
Kama hupendi kalale relini.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…