kalipeni
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,585
- 1,348
Habari wana jamvi!
Mimi kuna swala linanichanganya na kama ningekua na mamlaka wala nisingekubali lipite, ni Ili swala la recognition of prior learning.
Yani huwezi kuniambia darasa la saba umpe mitihani mitatu ya kucolify kwenda chuo kikuu alafu yote apige B then aende chuo kikuu mm kwa ushauri wangu nadhani kuna haja kama alivyosema mdau mmoja wa jf vyuo viweke entrance exams nadhani ii itakua njia nzuri kuwapukutisha kenge wote ktk kundi la mamba.
Sijui wana jamvi mnalizungumziaje ilo.
Mimi kuna swala linanichanganya na kama ningekua na mamlaka wala nisingekubali lipite, ni Ili swala la recognition of prior learning.
Yani huwezi kuniambia darasa la saba umpe mitihani mitatu ya kucolify kwenda chuo kikuu alafu yote apige B then aende chuo kikuu mm kwa ushauri wangu nadhani kuna haja kama alivyosema mdau mmoja wa jf vyuo viweke entrance exams nadhani ii itakua njia nzuri kuwapukutisha kenge wote ktk kundi la mamba.
Sijui wana jamvi mnalizungumziaje ilo.
