Hivi na akili zako, unaamini kabisa kwenye kupiga kura? Mimi nadhani hata kama alipata kura nyingi kiasi gani, wenye akili timamu wasingempa tuzo! Maneno kama "nyoka hana kiuno ndio maana havai shanga", wewe na akili zako ungempigia kura??? CRAP CRAP CRAP!!
Kama hamkumpigia kura Mjomba mlitaka apiteje sasa.Wabongo bwana mabahili afu tunaishia kulalamika wakati hatukufanya jitihada za kufanikisha chaguo letu spate tuzo.
mkuuu hii ni TUZO ambayo ilikosewa kabisaaaaa! yaani hakustahili kupewa tuzo hiyo! MPOKI RUDISHA TUZO MKUUU MWENYEWE UNAJUA UWEZO WAKO MDOGO.
anayelalamika mwenye hata kura moja hajapiga!!
watanzania bana!!
Hapo umesema! Nyie fans wa mjomba ndiyo mmechemsha wala siyo waandaaji wa tuzo hizo! Wao wanaangalia kura, Mpoki na wapambe wake wamemzidi mjomba na wapambe wake katika suala zima la kujitafutia kura
Hata mimi ningekuwepo ningempigia kura Mpoki