Ni mwaka wa nne sasa waandaaji wa Tuzo ya Mo Ibrahim hawajampata mshindi kwa mara nyingine, na Ukizingatia waandaaji wa Tuzo hiyo ni watu wa Afrika na siyo nchi za magharibi kwamba tunaweza sema ni fitina za nchi za magharibi kwa bara la Afrika. Je hii inamaanisha nini? Je ni kweli kuwa kwa kipindi hicho cha miaka minne hakuna utawala bora wala viongozi bora Afrika?