Miss Madeko
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 4,420
- 5,700
Basi mimi nilikuwa na kipindi hicho nina tunzo point 18 nikasema ngoja ninunue umeme wa Elf10 then maisha yasogee, nimefanya transaction naambiwa nina tuzo point 1,325 sina salio la kutosha from there sijawahi hata kuhangaika nao tena
