Tuzo point za Voda kichekesho

Tuzo point za Voda kichekesho

Jadi

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
1,494
Reaction score
864
Mi nashauri mboreshe maana naona kichekesho tu. Eti nita mapoint kibao, ukitaka kununua kifurushi point 7000 kwa MB200, mmeboa kwa kweli. Au hizo point 80000 ukitaka iwe hela unapata 4000, kweli!!!!! Wakati unapewa tuzo 10 kwa transaction! Huu ni utani bora mbadili au mboreshe
 
Mi nashauri mboreshe maana naona kichekesho tu. Eti nita mapoint kibao, ukitaka kununua kifurushi point 7000 kwa MB200, mmeboa kwa kweli. Au hizo point 80000 ukitaka iwe hela unapata 4000, kweli!!!!! Wakati unapewa tuzo 10 kwa transaction! Huu ni utani bora mbadili au mboreshe
Mimi nina point 20,000+, eti wananitumia SMS kwamba ninaweza kupata dak 15, voda to voda , nimecheka sana, nimeona niendelee tu kununua. Maana hiyo ni dharau ya karne ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nashauri mboreshe maana naona kichekesho tu. Eti nita mapoint kibao, ukitaka kununua kifurushi point 7000 kwa MB200, mmeboa kwa kweli. Au hizo point 80000 ukitaka iwe hela unapata 4000, kweli!!!!! Wakati unapewa tuzo 10 kwa transaction! Huu ni utani bora mbadili au mboreshe
Kusingekuwa na tuzo point hizo 4000 ungezipatia wapi?

Umefanya transactions miezi 6 kutumia voda na tigo. Voda wanakupa tuzo point na tigo hawakupi.

Yupi bora kati yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Voda ni wahuni kupindukia, kusema kweli kwa sasa naangalia namna ya kuacha kutumia mtandao huu.
 
Wale wanaoshinda sijui wanashinda vp
Nilimrubuni bi mkubwa wangu kwamba kwakuwa laini yake ni moja ya laini za kwanza kabisa nadhani kati ya watu 100 wakwanza kutumia vodacom nae yupo basi acheze atashinda maana midakika 200 hadi 500 anaipataga bila hata kuelewa.

Weeeeeee! Kamaliza elfu 70 nzima hata mia hajaiona😂😂 ni wahuni tu
 
Nilimrubuni bi mkubwa wangu kwamba kwakuwa laini yake ni moja ya laini za kwanza kabisa nadhani kati ya watu 100 wakwanza kutumia vodacom nae yupo basi acheze atashinda maana midakika 200 hadi 500 anaipataga bila hata kuelewa.

Weeeeeee! Kamaliza elfu 70 nzima hata mia hajaiona ni wahuni tu
Tuzo point zile ni upuuzi kabisaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Voda ni wahuni kupindukia, kusema kweli kwa sasa naangalia namna ya kuacha kutumia mtandao huu.

voda wanany*****do uchwaraaa dakika wanatuminya MB ndo usiseme kila siku wanazipunguza naivi wananidai namba lazima waisome TIGO na AIRTEL ndo habari ya muujini
 
Back
Top Bottom