SolarPower
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 223
- 27
Wakuu,
Tuwahamasishe Watanzania kwa ujumla wetu ili tuweze kuzikumbuka shule zetu tulizosoma za Msingi na Sekondari ili tuweze kuzisaidia kwa hali na mali ili ziwe bora na kutoa wanafunzi waliobora zaidi. Kuna haja ya kuwa na vikao maalum kila mkoa na kupanga mikakati maalum ya kuzisaidia.
Tuwahamasishe Watanzania kwa ujumla wetu ili tuweze kuzikumbuka shule zetu tulizosoma za Msingi na Sekondari ili tuweze kuzisaidia kwa hali na mali ili ziwe bora na kutoa wanafunzi waliobora zaidi. Kuna haja ya kuwa na vikao maalum kila mkoa na kupanga mikakati maalum ya kuzisaidia.