mkuu mbona ipo tena peupe tu.
Labda anamaanisha titleItakuwa wewe ni mtoro sana humu.
Mbona una uwezo wa kuhariri bandiko lako isipokuwa (headline).
Labda anamaanisha title
mkuu mbona ipo tena peupe tu.
Highlight bandiko lako au bonyeza comment yako na iweke kivuli. Utaona juu upande wa kulia mwa simu yako kuna alama ya X ya Spana. Bonyeza hapo utakutana na EDIT / DELETE.
View attachment 1195930View attachment 1195931
Mkuu kwangu haipo aisee
Hahaha...kama Admin vileUpdate app yako.
Asante kwa kutumia JF una tatizo lingine tafadhali.?
Mi nashauri wangetupa access ya kubadilisha majina yetu.
Mkuu najaribu kuwania nafasi huwenda mod moja akapigwa chini kisha nikae kwenye nafasi yake.Hahaha...kama Admin vile