Tuwekane sawa Prof. Kitila Mkumbo, CCM wanafanya mikutano, Chadema wanazuiwa

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Kaka yangu Prof Kitila Mkumbo, mimi nakuheshimu sana kama mtu msomi na mweledi wa hali ya juu, ninafurahi kuwa na bahati ya kufanyakazi na wewe katika siasa.

Unatambua wazi kuwa rais alivunja katiba na sheria za nchi kutangaza marufuku ya vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa, hili kama Prof msomi ulitakiwa kumshauri rais kwamba anavunja katiba.

Hakukuwa na sababu za amri hiyo ya kirais katika nchi ya kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi, isipokuwa tu kunapokuwa na vita katika nchi au hatari yoyote inayoweza kupimwa kwa Def Cond walau 001 hivi. Kitendo cha wewe kushindwa kumshauri rais vizuri juu ya hili, kiliondoa uhalali wako katika taifa juu ya mapambano yako ya miaka mingi kuhusu Demokrasia, yaani taifa halijanufaika juu yako katika hili kwa mtu uliyepigania demokrasia kwa miaka zaidi ya 30.

Rais akasema Wabunge tu wakuchaguliwa na madiwani ndio wafanye mikutano yao. Zingatia Mkutano wa kibunge sio wa chama cha siasa, ni mkutano wa kiutumishi. Hivyo John Heche hajafanya mkutano wa Chadema, amefanya mkutano wa Kibunge. Hili usipotofautisha utakuwa huna tofauti na akina Chakubanga tu.

Bashiru, Polepole, Pinda na makada wa ccm wengine nchi nzima wanazungunga nchi nzima wanafanya mikutano ya hadhara ya ccm huku wao sio wabunge wala sio watumishi wa umma bali wanaccm. Wakati huo Mbowe ambae ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa au Mashinji ambae ni Katibu Mkuu wa Chadema hawaruhusiwi kufanya mkutano wa hadhara Dar au popote na hata jimboni kwa Mbowa anazuiwa na polisi.

Tumia taaluma yako kulisaidia taifa kuliko kujali maslahi binafsi huku taifa likiangamia kwa ubaguzi nakulijaza chuki za kisiasa zisizo na ulazima.

Na Yericko Nyerere
IMG_20191005_214439_518.jpg
IMG-20191005-WA0304.jpg
IMG_20191005_140609.jpg
Screenshot_20191005-221930.png
 
Kaka yangu Prof Kitila Mkumbo, mimi nakuheshimu sana kama mtu msomi na mweledi wa hali ya juu, ninafurahi kuwa na bahati ya kufanyakazi na wewe katika siasa.

Unatambua wazi kuwa rais alivunja katiba na sheria za nchi kutangaza marufuku ya vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa, hili kama Prof msomi ulitakiwa kumshauri rais kwamba anavunja katiba.

Hakukuwa na sababu za amri hiyo ya kirais katika nchi ya kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi, isipokuwa tu kunapokuwa na vita katika nchi au hatari yoyote inayoweza kupimwa kwa Def Cond walau 001 hivi. Kitendo cha wewe kushindwa kumshauri rais vizuri juu ya hili, kiliondoa uhalali wako katika taifa juu ya mapambano yako ya miaka mingi kuhusu Demokrasia, yaani taifa halijanufaika juu yako katika hili kwa mtu uliyepigania demokrasia kwa miaka zaidi ya 30.

Rais akasema Wabunge tu wakuchaguliwa na madiwani ndio wafanye mikutano yao. Zingatia Mkutano wa kibunge sio wa chama cha siasa, ni mkutano wa kiutumishi. Hivyo John Heche hajafanya mkutano wa Chadema, amefanya mkutano wa Kibunge. Hili usipotofautisha utakuwa huna tofauti na akina Chakubanga tu.

Bashiru, Polepole, Pinda na makada wa ccm wengine nchi nzima wanazungunga nchi nzima wanafanya mikutano ya hadhara ya ccm huku wao sio wabunge wala sio watumishi wa umma bali wanaccm. Wakati huo Mbowe ambae ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa au Mashinji ambae ni Katibu Mkuu wa Chadema hawaruhusiwi kufanya mkutano wa hadhara Dar au popote na hata jimboni kwa Mbowa anazuiwa na polisi.

Tumia taaluma yako kulisaidia taifa kuliko kujali maslahi binafsi huku taifa likiangamia kwa ubaguzi nakulijaza chuki za kisiasa zisizo na ulazima.

Na Yericko Nyerere
View attachment 1224600
Njaa ya kichwani ni mbaya sana hawa Phd wetu sijui wanakwama wapi!?
 
Kiukweli katika jambo ambalo serikali ya awamu ya tano imevurunda ni kuvunja haki za wapinzani wake Wa kisiasa kwa kutumia polis na wakuu Wa mikoa na wilaya kuwanyima fursa wapinzani wake Wa kisiasa kufanya mikutano ya kisiasa. Mfano wabunge wote Wa mkoa Wa dar wanazuiliwa na mapolis kufanya mikutano katika majimbo yao ilihali ccm wakiruhusiwa kufanya bila masharti yoyote Yale.mbaya zaidi nimemsikia makonda na polepole wakiwashambulia wabunge Wa dar kwa kutofanya mikutano katika maeneo yao, nimejiuliza sana kwa kweli.Ccm kama wanajiamini wanaogopa nini kuwapa fursa wenzao kufanya mikutano kama wafanyavyo wao hatimaye wananchi wakaamua?
 
Hivi wale wataalamu Mkuu aliosema waliozuia daraja lisijengwe kwa kutumia nguvu za giza hawawezi kutusaidia kuondoa uonevu huu wanaofanyiwa wapinzani???
 
Kaka yangu Prof Kitila Mkumbo, mimi nakuheshimu sana kama mtu msomi na mweledi wa hali ya juu, ninafurahi kuwa na bahati ya kufanyakazi na wewe katika siasa.

Unatambua wazi kuwa rais alivunja katiba na sheria za nchi kutangaza marufuku ya vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa, hili kama Prof msomi ulitakiwa kumshauri rais kwamba anavunja katiba.

Hakukuwa na sababu za amri hiyo ya kirais katika nchi ya kidemokrasia inayofuata mfumo wa vyama vingi, isipokuwa tu kunapokuwa na vita katika nchi au hatari yoyote inayoweza kupimwa kwa Def Cond walau 001 hivi. Kitendo cha wewe kushindwa kumshauri rais vizuri juu ya hili, kiliondoa uhalali wako katika taifa juu ya mapambano yako ya miaka mingi kuhusu Demokrasia, yaani taifa halijanufaika juu yako katika hili kwa mtu uliyepigania demokrasia kwa miaka zaidi ya 30.

Rais akasema Wabunge tu wakuchaguliwa na madiwani ndio wafanye mikutano yao. Zingatia Mkutano wa kibunge sio wa chama cha siasa, ni mkutano wa kiutumishi. Hivyo John Heche hajafanya mkutano wa Chadema, amefanya mkutano wa Kibunge. Hili usipotofautisha utakuwa huna tofauti na akina Chakubanga tu.

Bashiru, Polepole, Pinda na makada wa ccm wengine nchi nzima wanazungunga nchi nzima wanafanya mikutano ya hadhara ya ccm huku wao sio wabunge wala sio watumishi wa umma bali wanaccm. Wakati huo Mbowe ambae ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa au Mashinji ambae ni Katibu Mkuu wa Chadema hawaruhusiwi kufanya mkutano wa hadhara Dar au popote na hata jimboni kwa Mbowa anazuiwa na polisi.

Tumia taaluma yako kulisaidia taifa kuliko kujali maslahi binafsi huku taifa likiangamia kwa ubaguzi nakulijaza chuki za kisiasa zisizo na ulazima.

Na Yericko Nyerere
View attachment 1224600View attachment 1224601View attachment 1224602View attachment 1224603
Ni wivu tu.
 
Back
Top Bottom