Tuwekane sawa kuhusu pd-proxy with airtel chip!

XOXOQY

Senior Member
Feb 7, 2011
172
36
Nachofahamu mimi Airtel huwa inakata ku-connect ikiwa na 0.00.
-Nimedownload PD-PROXY new version
-Nikaifanyia setting zifuatazo
(a)Katika option ya server nimeset DEMO SEVER (US)
(b)Kwenye account Nimeweka user name na password nilizo pewa kwa ajiri ya trial!
(c)Nikainstall TAP software
(d) Katika port nikaweka hivi

TCP port 443

UDP port 53

(e) Nika-enable Proxy na nikaweka hii 10.102.61.6 port 8080
(f) Nikasave setting then
(g) Kwenye MODEM APN nikaweka AirtelGprs.com
(h) Nikataka kukonect modem ikakataa!
(i) Nikaenda kwenye PD-PROXY nikataka ku-cinect ikakataa

SWALI
1.Settting zangu zipo sawa?
2.Kama nimekosea ni wap?
3.Katika ku-connect unaanza ku-connect PD-PROXY au MODEM (kumbuka laini ni ya Airtel yenye 0.00 Tsh!

Naomba kuwasilisha!
Thank you for advance!
 
Nachofahamu mimi Airtel huwa inakata ku-connect ikiwa na 0.00.
-Nimedownload PD-PROXY new version
-Nikaifanyia setting zifuatazo
(a)Katika option ya server nimeset DEMO SEVER (US)
(b)Kwenye account Nimeweka user name na password nilizo pewa kwa ajiri ya trial!
(c)Nikainstall TAP software
(d) Katika port nikaweka hivi

TCP port 443

UDP port 53

(e) Nika-enable Proxy na nikaweka hii 10.102.61.6 port 8080
(f) Nikasave setting then
(g) Kwenye MODEM APN nikaweka AirtelGprs.com
(h) Nikataka kukonect modem ikakataa!
(i) Nikaenda kwenye PD-PROXY nikataka ku-cinect ikakataa

SWALI
1.Settting zangu zipo sawa?
2.Kama nimekosea ni wap?
3.Katika ku-connect unaanza ku-connect PD-PROXY au MODEM (kumbuka laini ni ya Airtel yenye 0.00 Tsh!

Naomba kuwasilisha!
Thank you for advance!

Bora umeweka hii thread tuone waliosema inakubali watuhakikishie hii kitu.. sasa tutajua madhara ya copy n paste..

Shukrani sana mwanzisha thread!!!
 
brother's mi ni muda mrefu natumia mig33 long time, connection kubwa ya mig33 ni tcp tena unachagua ur own port kama ingekua tcp ni bure ningeonja japo sku moja kwa mig ila ukweli haiwezekani kwa tcp mtandao wowote tz.

Hio port 53 ipo blocked airtel niliwah itest port ambayo ipo open ni 9200 na airtel wameifanyia sjui nini huwez conect nayo japo ipo open

Utachofaidi ni kuongeza speed ya internet yako tu maana kukonect na port unique unatumia net mwenyewe speed ina improve.
 
brother's mi ni muda mrefu natumia mig33 long time, connection kubwa ya mig33 ni tcp tena unachagua ur own port kama ingekua tcp ni bure ningeonja japo sku moja kwa mig ila ukweli haiwezekani kwa tcp mtandao wowote tz.

Hio port 53 ipo blocked airtel niliwah itest port ambayo ipo open ni 9200 na airtel wameifanyia sjui nini huwez conect nayo japo ipo open

Utachofaidi ni kuongeza speed ya internet yako tu maana kukonect na port unique unatumia net mwenyewe speed ina improve.

Is that mean haiwezekani kupata net free kwa njia hii zaidi ya kuongeza speed ya internet?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom