Uchwara atakwambia muigeni Mkuu wa mkoa wa Dar ni mchapa kazi sana. Sijui tangu lini uchwara akajua kipimo cha ufanyaji kazi!! Vinginevyo asingekubali kusukumiziwa Ikulu.
kuna kitu hujaelewa..hiko kibao kilishikiliwa na misumari miwili
wa juu na wa chini
sasa wa juu ukaachia...ndo kikateremka kimebaki kushikiliwa na msumari wa chini
kuna kitu hujaelewa..hiko kibao kilishikiliwa na misumari miwili
wa juu na wa chini
sasa wa juu ukaachia...ndo kikateremka kimebaki kushikiliwa na msumari wa chini