Mrekebishaji
Senior Member
- Mar 19, 2009
- 168
- 63
Lianzishwe jimbo jipya.(Kuwe na wabunge wa Kitaifa)
Ndugu zangu, mimi ni kijana ambaye wakati wote nimekuwa nikiamini kuwa kuna vitu vikubwa viwili ambavyo vinategeneza au kuharibu maisha ya mwanadamu. Hivi ni SIASA na DINI.
Ktk imani hii, nilikuwa napenda kufuatilia na kushiriki ktk mambo hayo. Kuthibitisha hilo, wakati nasoma Mlimani, nlipata kuwa DARUSO President mwaka 2004/2005.
Leo nina hoja ya ubunge wa kitaifa. Ktk tafakuru yangu, nimekundua kuwa kuna wabunge ambao wapenda maendeleo wanawahitaji lakini kuna hatari majimboni kwao wasikidhi matakwa ya jimbo. Kwa mfano kuna majimbo wanahitaji huduma za jamii, lakini inawezekana mbunge wao bado hana uwezo wa kutekeleza hayo kwa kadri ya mahitaji ya watu wake.Lakini utakuta mbunge huyo huyo ni kinara wa kupinga ufisadi jambo ambalo linasaidia nchi kwa ujumla nap engine jimboni kwake watu wakaona si tija sana kwao.
Sasa, nasema kwa wale wapenda maendeleo, naomba tuangalie namna ya kupenyeza hoja, tupate wabunge walau 10 wa kitaifa hawa wachaguliwe na wapiga kura wote kama ilivyo kwa tiketi ya urais. Kwa maelezo mafupi, tusipofanya hivi, mafisadi wanaweza kutuondolea kwa urahisi watu kama Dr. MWAKYEMBE, MAMA KILANGO, ZITTO, DR.SLAA, SELELI na wengineo ambao wameonekana kuwa na uchungu na nchi pengine kulingo hata majimbo yao tu.
Pia, kwa vijana wengi wengi(watoto wa wakulima) bado hawajakusanya kipato cha kutosha kupambana na wakongwe japo hao vijana wanauwezo mzuri lakini kwa bahati mbaya siasa zetu zinahitaji zaidi pesa kuliko uwezo wa mtu ktk kutetea jamii.
Naombeni kuungwa mkono au kukosolewa.
(KWA MAONI YANGU WABUNGE HAWA NI MUHIMU KULIKO HATA WALE KUMI WA MH. RAIS)
Asanteni.
Ndugu zangu, mimi ni kijana ambaye wakati wote nimekuwa nikiamini kuwa kuna vitu vikubwa viwili ambavyo vinategeneza au kuharibu maisha ya mwanadamu. Hivi ni SIASA na DINI.
Ktk imani hii, nilikuwa napenda kufuatilia na kushiriki ktk mambo hayo. Kuthibitisha hilo, wakati nasoma Mlimani, nlipata kuwa DARUSO President mwaka 2004/2005.
Leo nina hoja ya ubunge wa kitaifa. Ktk tafakuru yangu, nimekundua kuwa kuna wabunge ambao wapenda maendeleo wanawahitaji lakini kuna hatari majimboni kwao wasikidhi matakwa ya jimbo. Kwa mfano kuna majimbo wanahitaji huduma za jamii, lakini inawezekana mbunge wao bado hana uwezo wa kutekeleza hayo kwa kadri ya mahitaji ya watu wake.Lakini utakuta mbunge huyo huyo ni kinara wa kupinga ufisadi jambo ambalo linasaidia nchi kwa ujumla nap engine jimboni kwake watu wakaona si tija sana kwao.
Sasa, nasema kwa wale wapenda maendeleo, naomba tuangalie namna ya kupenyeza hoja, tupate wabunge walau 10 wa kitaifa hawa wachaguliwe na wapiga kura wote kama ilivyo kwa tiketi ya urais. Kwa maelezo mafupi, tusipofanya hivi, mafisadi wanaweza kutuondolea kwa urahisi watu kama Dr. MWAKYEMBE, MAMA KILANGO, ZITTO, DR.SLAA, SELELI na wengineo ambao wameonekana kuwa na uchungu na nchi pengine kulingo hata majimbo yao tu.
Pia, kwa vijana wengi wengi(watoto wa wakulima) bado hawajakusanya kipato cha kutosha kupambana na wakongwe japo hao vijana wanauwezo mzuri lakini kwa bahati mbaya siasa zetu zinahitaji zaidi pesa kuliko uwezo wa mtu ktk kutetea jamii.
Naombeni kuungwa mkono au kukosolewa.
(KWA MAONI YANGU WABUNGE HAWA NI MUHIMU KULIKO HATA WALE KUMI WA MH. RAIS)
Asanteni.