Jana usiku nilistuka sana wakati nilipokuwa naangalia kipindi cha habari caha usiku TBC 1, kuna habari moja ilikuwa ya kusikitisha ya mauaji iliyotekea Vunjo moshi. Wanahabari walielezea kwa Msisitizo kuwa yale mauaji ya familia ya Mwenyeketi wa kijiji waliochomwa moto ndani ya nyumba yalikuwa ni ya kisiasa, na baadae nikaja kusikia tetesi kuwa eti ni Chadema ndio waliofanya hayo mauaji ambayo kwa kweli yanatakiwa yaalaniwe na kukemewa.
Lakini LEO ASUBUHI nilikuja kufarijika baada ya MBUNGE wa Vunjo Kuhojiwa pamoja na Kamanda wa Polisi wa mKoa Kilimanjaro, wote walisema hao wanaotuhumiwa kufanya hayo mauaji ni wanakijiji ambao walikuwa hawapendi Kazi na Juhudi nzuri ya Mwenyekiti huyo aliyokuwa anaifanya, ya kupingana na biashara haramu, pombe haramu, wizi, uhalifu na KUMBE na SIO CHADEMA kama vile awali ilivyoanza kutawanywa na kuenezwa na watu pamoja na baadhi ya vyombo vya habari.
Kwali tuwe makini sana TUSIJE SIKU mtaani kwako ukavamiwa na vibaka, majambazi ukaja kusikia kuwa hao ni CHADEMA tu.
Ikiwa hivi HATUTAFIKA Tutabakia kwenye KUUNDA MAJUNGU na KUSAHAU Mbinu gani zitumike TUJIKOMBOE na UMASKINI na TUPIGE maendeleo ya NCHI YETU.
Lakini LEO ASUBUHI nilikuja kufarijika baada ya MBUNGE wa Vunjo Kuhojiwa pamoja na Kamanda wa Polisi wa mKoa Kilimanjaro, wote walisema hao wanaotuhumiwa kufanya hayo mauaji ni wanakijiji ambao walikuwa hawapendi Kazi na Juhudi nzuri ya Mwenyekiti huyo aliyokuwa anaifanya, ya kupingana na biashara haramu, pombe haramu, wizi, uhalifu na KUMBE na SIO CHADEMA kama vile awali ilivyoanza kutawanywa na kuenezwa na watu pamoja na baadhi ya vyombo vya habari.
Kwali tuwe makini sana TUSIJE SIKU mtaani kwako ukavamiwa na vibaka, majambazi ukaja kusikia kuwa hao ni CHADEMA tu.
Ikiwa hivi HATUTAFIKA Tutabakia kwenye KUUNDA MAJUNGU na KUSAHAU Mbinu gani zitumike TUJIKOMBOE na UMASKINI na TUPIGE maendeleo ya NCHI YETU.