mzungu mmoja aliambiwa ukifika tanzania ukiuliza swali lazima ujibiwe na swali..alipofika airport akauliza nasikia tanzania mkiuliza maswali mnajibu kwa maswali""akajibiwa ""nani kakwambia""
amefanya kosa kuuliza swali hapo juu hatopata jibu jf
ndugu labda kwa kukusaidia tu usiangalie majibu yanayokukatisha tamaa ...biblia inasema """kwa maana jinsi hii mungu aliupenda ulimwengu akamtoa mwanae pekee ili kila amwaminie awe na uzima wa milele""kama unaamini hivyo basi ujue msamaha uko kwa ajili yako...........
Labda muhimu naomba nikuhabarishe kuna dhambi nyingine unaweza kumtendea mtu kwa macho kumbe unamtendea mungu...especially wanawake ..wle huwa wanasema na mungu straight maombi yaop yanajibiwa haraka sana..ndio maana ukiwa na shida nyumbani muite mkeo ukiomba mwenyewe shuguli unayo...so naomba ni kuwatch out
zipodhambi ambazo ausamehewi mpaka umwombe radhi mungu na utaje upuuzi wote uliokuwa ukifanya na hapo mungu anakusamehe..na kama possible sali ukiwa na huyo mkeo.....unaweza ukaona umeomba msamaha kwa mkeo amesema nimekusamehe lakini mungu bado ajakusamehe mpaka uombe toba ya kweli kwa mungu akupe rehema zake...usijali utosamehewa utasamehewa ila ili usimame imara tubu na kwa mungu wako ukiwa na mkeo!!!
Nawatakia nyumba bora yenye mafanikio bila wa
Kama hujamwambia, mimi kwa upande wangu, naona bora usimwambie sasa hivi, tuliza bolu ila lazima umwambie atakapotuliza hasira.. Usiongeze mafuta kwenye moto.. Jaribu kuhisi kama hilo jambo angefanya yeye, hata angeomba msamaha wa aina gani, lisingetoka moyoni kwako. Na siku moja ungelipiza kisasi.
sawa kabisa
tena kisasi kingine,unapigwa kisu cha shingo usiku tu basi!!kuna upumbavu watu tunajitafutia wenyewe tu na izi ndoa,,,bora usioe kabisa uwe unatembea na kila umtakae na sio kuliza mkeo ivo,,apo kuna ukimwi,stis
nimesikia uchungu sana uyo mkeo anavokaa mahali na kuanza kulia peke yake aisee umemuumiza sana uyo mama.kwanini ulikuwa unamtukana?uliwekewa limbwata nini??
Ukirudia na ufe
Tamaa zimeniweka hapa nilipo sasa sina amani ndani ya nyumba nahisi kama nitalipiziwa kisasi,siku za nyuma kidogo nilikuwa na kimada nikampenda na kuanza kudharau mwandani na vituko vingi tu nilimfanyia kibaya zaidi hakuwahi kunikosea nilikuwa najisikia kutompenda na kuhamishia mapenzi kwa kimada lkn kimada huyo hakuwa mtu mzuri kwani alikuwa akipenda kujua sana mambo ya nyumbani kwangu mimi na mke wangu tunaishije,sikusita kumwambia na alikuwa akinishauri vizuri siku za mwanzo lkn baadae akawa anataka nimfanyie visa mke wangu nilikuwa nikimridhisha kwa kumuitikia ingawaje hakuridhika,akawa ananiambia nimpigie sim mke wangu nimseme ovyo nami nilifanya yote hiyo aamini nampenda.lkn kumbe mwenzangu mwingi wa habari kwasasa tumeachana nipo na my wife amenisamehe lkn mara nyingi namuona hana raha kuwa nami saa nyingine analia peke yake,NIFANYEJE MKE WANGU AWE NORMAL
endelea kumdadisi ujue kwa nini analia.