Tuwasaidie wajumbe wa Halmashauri kuu CCM

Tuwasaidie wajumbe wa Halmashauri kuu CCM

Haki sawa

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2007
Posts
4,781
Reaction score
3,211
Wanademokrasia na wananchi kwa ujumla!

Kuna mipango miovu inayopangwa na wahafidhina na wasioitakia mema nchi yetu kuwazuia wajumbe halali wa halimashauri kuu Ccm kuhudhuria mkutano wa Halmashauri kuu hapo Julai 18.

Mipango hii inahusisha kuweka vikwazo vya fedha kwa wajumbe hasa masharti ya kuwarejeshea wajumbe posho ya usafiri na kujikimu kipindi chote mkutano. Hii inatishia afya ya demokrasia kwani wajumbe waliopangwa tayari akaunti zimecheka na wengine wameanza kujisogeza eneo la tukio.

Hivyo basi mnaombwa kuwasaidia wajumbe kwenye maeneo yenu kwa michango ili waweze kuhudhuria mkutano huu muhimu unaokwenda kuibadilisha historia ya nchi hii. Kwa wajumbe wa halimashauri kuu walioathirika na unyanyasaji huu mnaombwa kutoa taarifa zenu hapa ili wana JF wawasaidie.

Pia wale ambao wana msimamo tofauti na Mwenyekiti kuhusu mgombea Urais gani wanayemuunga mkono wanatengenezewa zegwe.....
 
Utawaona mods mbio wakiufuta Uzi huu ......tehe tehhhh......
 
ccm haina faida kwa wananchi hata hao wajumbe wasipoenda kwenye huo mkuutano wa intarahamwe ni sawa tuu
 
Wanademokrasia na wananchi kwa ujumla!

Kuna mipango miovu inayopangwa na wahafidhina na wasioitakia mema nchi yetu kuwazuia wajumbe halali wa halimashauri kuu Ccm kuhudhuria mkutano wa Halmashauri kuu hapo Julai 18.

Mipango hii inahusisha kuweka vikwazo vya fedha kwa wajumbe hasa masharti ya kuwarejeshea wajumbe posho ya usafiri na kujikimu kipindi chote mkutano. Hii inatishia afya ya demokrasia kwani wajumbe waliopangwa tayari akaunti zimecheka na wengine wameanza kujisogeza eneo la tukio.

Hivyo basi mnaombwa kuwasaidia wajumbe kwenye maeneo yenu kwa michango ili waweze kuhudhuria mkutano huu muhimu unaokwenda kuibadilisha historia ya nchi hii. Kwa wajumbe wa halimashauri kuu walioathirika na unyanyasaji huu mnaombwa kutoa taarifa zenu hapa ili wana JF wawasaidie.

Pia wale ambao wana msimamo tofauti na Mwenyekiti kuhusu mgombea Urais gani wanayemuunga mkono wanatengenezewa zegwe.....
Pamoja sana dawa ni moja kwa kuwa JF imeachwa kuwa sehemu ya majungu,uzushi na uongo uzi huu nao unapaswa kuachwa na Mods uendelee kuwapo hapa Jukwaani kama ule mwingine ulivyoachwa.
 
Pamoja sana dawa ni moja kwa kuwa JF imeachwa kuwa sehemu ya majungu,uzushi na uongo uzi huu nao unapaswa kuachwa na Mods uendelee kuwapo hapa Jukwaani kama ule mwingine ulivyoachwa.

kwani unajuaje kama ule mwingine ni uzushi? Huu wa Haki Sawa ndo uzushi kwa vile kacopy mada ya mwenzake
 
kwani unajuaje kama ule mwingine ni uzushi? Huu wa Haki Sawa ndo uzushi kwa vile kacopy mada ya mwenzake
Umejuaje kuwa mimi ndio nime copy na kupaste ....ila sio Nduka ndio kacopy na kupaste wa kwangu?
 
Pamoja sana dawa ni moja kwa kuwa JF imeachwa kuwa sehemu ya majungu,uzushi na uongo uzi huu nao unapaswa kuachwa na Mods uendelee kuwapo hapa Jukwaani kama ule mwingine ulivyoachwa.
Kwa hiyo mmeanzisha uongo mkidhani Nduka amesema uongo?Mnajua kila mipango wa chadema?
MSiwapangie kazi mods!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Wanademokrasia na wananchi kwa ujumla!

Kuna mipango miovu inayopangwa na wahafidhina na wasioitakia mema nchi yetu kuwazuia wajumbe halali wa halimashauri kuu Ccm kuhudhuria mkutano wa Halmashauri kuu hapo Julai 18.

Mipango hii inahusisha kuweka vikwazo vya fedha kwa wajumbe hasa masharti ya kuwarejeshea wajumbe posho ya usafiri na kujikimu kipindi chote mkutano. Hii inatishia afya ya demokrasia kwani wajumbe waliopangwa tayari akaunti zimecheka na wengine wameanza kujisogeza eneo la tukio.

Hivyo basi mnaombwa kuwasaidia wajumbe kwenye maeneo yenu kwa michango ili waweze kuhudhuria mkutano huu muhimu unaokwenda kuibadilisha historia ya nchi hii. Kwa wajumbe wa halimashauri kuu walioathirika na unyanyasaji huu mnaombwa kutoa taarifa zenu hapa ili wana JF wawasaidie.

Pia wale ambao wana msimamo tofauti na Mwenyekiti kuhusu mgombea Urais gani wanayemuunga mkono wanatengenezewa zegwe.....

Hiyo pesa walopiga 200Biln wameshindwa kugawana?

Ama kweli mafisadi na pesa kama samaki na maji, ccm watauwana kwa ulafi wa fedha na choyo.
 
Nimeipenda hii.. maccm oyeee zidumu fikila za mwenyekiti
 
Back
Top Bottom