goukun wadey
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 241
- 286
Poleni......!!! Saaana ndugu zetu wa act wazalendo, pole kwa kiongozi wa chama, pole kwa mwenyekiti, pole kwa viongozi wote bara na visiwani, poleni wanachama, wapenzi na mashabiki wa chama.
Munapitia kipindi kigumu sana, na haielezeki ni kama munatolewa kwenye mstari, lakini haieleweki ni kwa vipi ni chama hiki tu ndio kizidi kwenye ajali za gari kwa msimu muhimu huu. Kisayansi sipati picha inakuwaje!
Tulianza kwa katibu mkuu Ado Shaibu akiwa Nannyamba gari ilipata ajali, kabla hatujatulia kiongozi wa Chama, Zito Kabwe nae kapata ajali ya gari, majeruhi hawajapona Mgombea ubunge huko Mtwara vijijini nae Kapata ajali ya gari. Hailezeki vizuri maana ajali haina kinga bali kwa nini act tu tena msimu huu?
Kwa Mtwara vijijini najua hilo jimbo lina record mbaya tangu enzi na enzi kabla ya Hawa Ghasia, nimemkumbuka Nachunga na wengi walipita mkondo mbaya huko tuwaachie wamaraba wenyewe. Kama ingekuwa madreva ni wa chama kingine au wa serikali tungeweza kutengeneza walau dhana fulani.
Kwa hali mnayopitia Nawapeni tu pole sana. Nawaza ni kama uunguaji wa shule za kiislamu kwa moto. Pole sana mpambanaji Zitto Zuberi Kabwe, Maalim Seif, Addo shaibu naona Tunduru inasogea mikononi mwako. Poleni saaaaaaana.
Munapitia kipindi kigumu sana, na haielezeki ni kama munatolewa kwenye mstari, lakini haieleweki ni kwa vipi ni chama hiki tu ndio kizidi kwenye ajali za gari kwa msimu muhimu huu. Kisayansi sipati picha inakuwaje!
Tulianza kwa katibu mkuu Ado Shaibu akiwa Nannyamba gari ilipata ajali, kabla hatujatulia kiongozi wa Chama, Zito Kabwe nae kapata ajali ya gari, majeruhi hawajapona Mgombea ubunge huko Mtwara vijijini nae Kapata ajali ya gari. Hailezeki vizuri maana ajali haina kinga bali kwa nini act tu tena msimu huu?
Kwa Mtwara vijijini najua hilo jimbo lina record mbaya tangu enzi na enzi kabla ya Hawa Ghasia, nimemkumbuka Nachunga na wengi walipita mkondo mbaya huko tuwaachie wamaraba wenyewe. Kama ingekuwa madreva ni wa chama kingine au wa serikali tungeweza kutengeneza walau dhana fulani.
Kwa hali mnayopitia Nawapeni tu pole sana. Nawaza ni kama uunguaji wa shule za kiislamu kwa moto. Pole sana mpambanaji Zitto Zuberi Kabwe, Maalim Seif, Addo shaibu naona Tunduru inasogea mikononi mwako. Poleni saaaaaaana.