That is real situationUmefanya self praise.
Ulichoandika ni completely out of Content, out of proportional...
Utasingizia kila kitu katiba katiba. Hizi siasa za vyama zimeku-brainwash akili kabisa.Katiba ya sasa hairuhusu innovations, imagine unalima then serikali inakupangia bei na inakuzuia kuuza nje ya nchi, kuna biashara nyingi sana bongo huwezi kuruhusiwa kufanya maana wamepewa monopoly wahindi na matajiri
Endelea kujidanganya tuu, hiyo katiba usipokuwa mwizi hutoboi, utakula tope mpaka ufeUtasingizia kila kitu katiba katiba. Hizi siasa za vyama zimeku-brainwash akili kabisa.
Sawa endelea kusubiri katiba mpya ndio utoboe. Utawasimulia mpaka wajukuu zako kuwa katiba ndio imekukwamisha.Endelea kujidanganya tuu, hiyo katiba usipokuwa mwizi hutoboi, utakula tope mpaka ufe
Mama katika hutuba yake alieleza kuwa uwekezaji wa ndani na kutoka nje utazalisha ajira 43 elfu. Hapo ni pamoja na wasomi wetu. Zaidi ya hapo ujenzi wa madarasa na zahanati unaoendelea nchini utaendana sambamba na ongezeko la Ajira. Mipango ya kuzalisha ajira ni mingi sana, ila vijana wawe makini katika utendaji wao wa kazi maana hizi ni zama nyingine.Maisha yanaenda kasi sana na yamebadilika sana, Leo vijana wanaosoma chuo wanaona aibu kubeba bahasha ya kaki barabarani
Enzi zetu kusoma chuo ilikuwa ni sifa kubwa sana, Haikuwa rahisi kufaulu mitihani ya form six au Form four hata kidogo
Wale waliofauli form six bado kama walijiunga na chuo Kikuu cha Dar es Salaam walikutana na mitihani mungine uliitwa "University Matriculation Test" na hapo ukifeli unatupwa nje na Division yako One
Majina ya matokeo ya mitihani yetu yalibandikwa live kwenye magazeti kila mtu anakusoma umepata alama gani sio kama Leo tunakutana na namba tu za mtahiniwa bila jina
Mimi binafsi Nilipata kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu, Nilienda interview kwa kujiamini bila hofu kuwa sijamaliza chuo, Niliamua kutoogopa baada ya kuona Rafiki yangu amepata kazi taasisi nzuri huku tukiwa tunasoma wote mwaka wa pili chuo kikuu
Niliulizwa maswali na Panel ya watu kumi huku wote wakinibana nikifeli chuo itakuwaje kwani sina matokeo hata ya mwaka wa pili mkononi na wala hata barua tu sina bali nina Provisional Results ya First year na nilikuwa na GPA ya kawaida sana sana
Nilielezea mambo kwa upana mpaka HR pamoja na Department inayohitaji mtu wakauliza kama nimewahi fanya kazi hiyo nikiwa shule ya msingi au sekondari nikawajibu hapana, Wakauliza wewe Kijana mdogo Haya mambo ya ofsini uliyajua wapi?
Out ya vipengele kumi nilivyoulizwa Nilishindwa swali moja tu ambalo ni
Je? unataka tukulipe kiasi gani cha mshahara kwa mwezi. Hili suala nilivurunda hasa kwani sikuwahi Fikiri kuna swali kama hilo, Mimi nilijibu tu kuwa Nyie kama taasisi mnataratibu zenu za mishahara na scale zenu hivyo kwa mtu kama mimi na uwezo nilionao itatokana na utaratibu wenu, Hapa nilichemka na nikapewa marks za hovyo
Baada ya kumaliza chuo nikafanya kazi kwa mwaka mmoja nikaambiwa sasa andika Application letter vizuri ya kazi ili tuweke kwenye faili lako
Uwezo wetu wa kujiamini huwezi kufananisha na vijana wa sasa, Uwezo wetu wa kufikiri mambo ulitanuka na kubadilika sana pale tu ukifika Form Six
Enzi hizo hakuna Spoon feeding, Hakuna madesa wala vitini, Shule ni shule, Ni kusoma vitabu haswa na kuelewa concept
Turudi kwenye lengo la uzi
Mosi, Vijana wa sasa wapo vyuo vikuu hawawezi hata kuunganisha sentensi mbili za Kiingereza na anasoma masomo ya Sanaa au biashara sio engineering, Wachache wapo vizuri
Pili, Wale bright ambao ni wachache sana na wanaajiriwa na kuajirika vizuri hatuna shida nao, Wengi wanatumia simu zao kuangalia picha Instagram, na Facebook
Mwanachuo kwa sasa simu inamsaidia kuangalia umbea, Picha za wema Sepetu, Habari za Mange kimambi na Diamond Platinum, Simu zao wapo bize kuangalia picha tu,
Mwanachuo kwa sasa atajibana matumizi sana na nawapongeza kwa hilo, Lakini lengo la kujibana matumizi ni apate simu ya toleo jipya na la kisasa kwa ajili ya kuangalia picha na kuonyesha watu, Hawajui kazi zingine za simu
Wanasiasa wanaelewa kinachoendelea kwenye elimu yetu kwa sasa ndio maana wapo kimya sana
Kuna sera kama Big Results Now au BRN zimetengeneza wanafunzi wenye uelewa mdogo sana
Sera za kulenga kufaulu sasa wanafunzi hawasomi bali wanafanya maswali ya kujibu mitihani, Hii umejenga uelewa mdogo sana
Vijana wachache wako vizuri kwa sasa, Wengi ya wanachuo kuna kazi kubwa ya kufanya
We unafikiri hela zingekuwa wanakopa wao ingekuwa easy kwa wao kununua v8? Mie mfano unipe 100M siwezi kwenda kununua VX V8 ntanunua hata Kluger ya 30M tu yenye 4WDHii idea ya kuwanunulia maofisa wa serikali VXR,GXR, V8 kwa nchi maskini kama Tanzania nimeshindwa kuielewa kabisa, dadeki ningekuwa mimi wote wakurugenzi,wakuu wa wilaya etc ingekuwa ni bodaboda tuu na anayetaka V8 akakope bank la kwake
Shida ya watanzania ni kutokuwa wabunifu hata wakitoka vyuoni malengo ni kuajiriwa tu, unatakiwa ufikiri zaidi na kubuni kazi zipo nyingi tu tatizo tunataka kazi za ofisini tu
Imekujaje hii kwenye hii thread?Kuwa na maaskari wote graduates itakuwa mzigo mkubwa sana kwa serikali kifedha, watadai kulipwa kwa ngazi ya graduate.
Kulinda na kukamata watu kunahitaji akili kidogo tu..
Wewe umetengeneza ajira ngapi kwa huo ubunifu wako.Shida ya watanzania ni kutokuwa wabunifu hata wakitoka vyuoni malengo ni kuajiriwa tu, unatakiwa ufikiri zaidi na kubuni kazi zipo nyingi tu tatizo tunataka kazi za ofisini tu
OK GoodUmeongea pumba ukiachana na experience ulinayo kazi elimu uliyopata ni finyu mno prove me wrong nakumbuka enzi zenu wale wa arts unakuta labsa history kuna maswali 10 unafanya matano na yamepangiliwa mpaka mwisho unachangua matano hamna kipengelee unakuta hata ukisoma topic moja unaweza kufanya matatu sometime
Sasa mambo advanced ni mwafrika tu duniani ndo anaamini watu waliopita walikuwa bora wenzetu wanaamini wakati uliopo na unaokuja patakuwa advanced usijfananishe na kizazi cha sasa kama hutumia ivyo vitu social media ni kwamba haziko kweny career yako usingekuwa na smartphone kachukua nokia jeneza lile ..utumie
Hamna ubora wa wazamani na sio Tanzania duniani mpaka nigeria mpaka panaibuka makundi ya wezi wa mtandao wana elimu kubwa watu wamkuwa wengi ajira hazitoshi nenda utuktane na hao yahoo boys wa nigeria wana elimu IT wanafanya utapeli sana ajira hamna
Leo umekuwa mkubwa unashindwa kucopy na hali ilivyo wanao uliozaa kipind iki utawalea kama zamani kuna vitu watajua zaidi yako
utakuja kuliwa matako ukiwa na uchum ndo nan nakosoa hata billgates punguza shobo na umaskini wako uliambiwa wapi mi natafuta jira au nililia shidaOK Good
Wewe Jamaa una akili sana kama Newton, Tatizo lako huna pesa tu Halafu ni mshamba sana
Haya badilisha akili zako kuwa pesa ili tukuheshimu
Akili zako zinafikiria mwisho miguuni
Mawazo bila pesa wewe ni mjinga tu
Mleta mada yupo vizuri sana hapa JF kuanzia mambo ya Uchumi mpaka Siasa
Wewe huna kitu mkuu kichwani
Hoja hujibiwa kwa hoja, Mleta mada ametoa hoja
Mosi, Aina ya elimu na vijana wetu
Pili, Mfumo mzima wa ufundishaji vijana wetu
Tatu, Uwezo wa vijana kujieleza kwenye interview kwa sasa
Nne, Uwezo wa vijana kujiamini na kusubiri wanasiasa
Wewe hoja zako ni zipi?