Tuwahurumie Graduates, Hakuna Mwanasiasa wa kuwatetea Vijana waliomaliza Chuo

Acha blah! blah! vijana wanasoma vizuri na wanafaulu, nyie kwa siasa zenu uchwara mmeshindwa kujenga mazingira ya kuwatumia hawa vijana wanaohitimu kuleta tija kwenye taifa, hamna ajenda za kueleweka za maendeleo..............ni mwendo wa kudemka tu asubuhi hadi jioni.........
 
Maisha yanaenda kasi sana na yamebadilika sana, Leo vijana wanaosoma chuo wanaona aibu kubeba bahasha ya kaki barabarani

Enzi zetu kusoma chuo ilikuwa ni sifa kubwa sana, Haikuwa rahisi kufaulu mitihani ya form six au Form four hata kidogo

Wale waliofauli form six bado kama walijiunga na chuo Kikuu cha Dar es Salaam walikutana na mitihani mungine uliitwa "University Matriculation Test" na hapo ukifeli unatupwa nje na Division yako One

Majina ya matokeo ya mitihani yetu yalibandikwa live kwenye magazeti kila mtu anakusoma umepata alama gani sio kama Leo tunakutana na namba tu za mtahiniwa bila jina

Mimi binafsi Nilipata kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu, Nilienda interview kwa kujiamini bila hofu kuwa sijamaliza chuo, Niliamua kutoogopa baada ya kuona Rafiki yangu amepata kazi taasisi nzuri huku tukiwa tunasoma wote mwaka wa pili chuo kikuu

Niliulizwa maswali na Panel ya watu kumi huku wote wakinibana nikifeli chuo itakuwaje kwani sina matokeo hata ya mwaka wa pili mkononi na wala hata barua tu sina bali nina Provisional Results ya First year na nilikuwa na GPA ya kawaida sana sana

Nilielezea mambo kwa upana mpaka HR pamoja na Department inayohitaji mtu wakauliza kama nimewahi fanya kazi hiyo nikiwa shule ya msingi au sekondari nikawajibu hapana, Wakauliza wewe Kijana mdogo Haya mambo ya ofsini uliyajua wapi?

Out ya vipengele kumi nilivyoulizwa Nilishindwa swali moja tu ambalo ni

Je? unataka tukulipe kiasi gani cha mshahara kwa mwezi. Hili suala nilivurunda hasa kwani sikuwahi Fikiri kuna swali kama hilo, Mimi nilijibu tu kuwa Nyie kama taasisi mnataratibu zenu za mishahara na scale zenu hivyo kwa mtu kama mimi na uwezo nilionao itatokana na utaratibu wenu, Hapa nilichemka na nikapewa marks za hovyo

Baada ya kumaliza chuo nikafanya kazi kwa mwaka mmoja nikaambiwa sasa andika Application letter vizuri ya kazi ili tuweke kwenye faili lako

Uwezo wetu wa kujiamini huwezi kufananisha na vijana wa sasa, Uwezo wetu wa kufikiri mambo ulitanuka na kubadilika sana pale tu ukifika Form Six

Enzi hizo hakuna Spoon feeding, Hakuna madesa wala vitini, Shule ni shule, Ni kusoma vitabu haswa na kuelewa concept

Turudi kwenye lengo la uzi

Mosi, Vijana wa sasa wapo vyuo vikuu hawawezi hata kuunganisha sentensi mbili za Kiingereza na anasoma masomo ya Sanaa au biashara sio engineering, Wachache wapo vizuri

Pili, Wale bright ambao ni wachache sana na wanaajiriwa na kuajirika vizuri hatuna shida nao, Wengi wanatumia simu zao kuangalia picha Instagram, na Facebook

Mwanachuo kwa sasa simu inamsaidia kuangalia umbea, Picha za wema Sepetu, Habari za Mange kimambi na Diamond Platinum, Simu zao wapo bize kuangalia picha tu,

Mwanachuo kwa sasa atajibana matumizi sana na nawapongeza kwa hilo, Lakini lengo la kujibana matumizi ni apate simu ya toleo jipya na la kisasa kwa ajili ya kuangalia picha na kuonyesha watu, Hawajui kazi zingine za simu


Wanasiasa wanaelewa kinachoendelea kwenye elimu yetu kwa sasa ndio maana wapo kimya sana

Kuna sera kama Big Results Now au BRN zimetengeneza wanafunzi wenye uelewa mdogo sana

Sera za kulenga kufaulu sasa wanafunzi hawasomi bali wanafanya maswali ya kujibu mitihani, Hii umejenga uelewa mdogo sana

Vijana wachache wako vizuri kwa sasa, Wengi ya wanachuo kuna kazi kubwa ya kufanya
Story of change
 
Badilisha kigezo cha elimu ya mtu kugombea ubunge. Kujua kusoma na kuandika tu haitoshi, lazima mbunge awe na digrii
Hao waliosoma na PHds huko bungeni ndio wapuuzi na wezi kuliko fisi, na kuna watu wazuri na wachapa kazi na hawana degree
 
Mtanzania wa kawaida anaona fahari kutembelea gari ya mkopo huku akishindia mihogo na maji

Au simu Kali ya iPhone 13 huku akipiga miayo tu Hana shilingi 10 mfukoni

Vivyo hivyo serikali yao inaona fahari kuwa na midege ya matrilion ya shilingi yakiingiza hasara kila kukicha ili hali kuna Barbara mbovu, hospital zisizo na vifaa vya kisasa, vijiji kukosa huduma ya maji na umeme,shule kukosa madarasa ,mabweni,maabara nk

Wafanyazi wakisotea mishahara yao bila kupandishwa

Wanasiasa na wakuu wa idara wakinunua mi VXR,GXR, Toyota pickups new model

Miafrika ndivyo ilivyo alijisema jamaa mmoja wa ikungulyabashashi
Hii idea ya kuwanunulia maofisa wa serikali VXR,GXR, V8 kwa nchi maskini kama Tanzania nimeshindwa kuielewa kabisa, dadeki ningekuwa mimi wote wakurugenzi,wakuu wa wilaya etc ingekuwa ni bodaboda tuu na anayetaka V8 akakope bank la kwake
 
Kuwa na maaskari wote graduates itakuwa mzigo mkubwa sana kwa serikali kifedha, watadai kulipwa kwa ngazi ya graduate.
Kulinda na kukamata watu kunahitaji akili kidogo tu..
 
Mtanzania wa kawaida anaona fahari kutembelea gari ya mkopo huku akishindia mihogo na maji

Au simu Kali ya iPhone 13 huku akipiga miayo tu Hana shilingi 10 mfukoni

Vivyo hivyo serikali yao inaona fahari kuwa na midege ya matrilion ya shilingi yakiingiza hasara kila kukicha ili hali kuna Barbara mbovu, hospital zisizo na vifaa vya kisasa, vijiji kukosa huduma ya maji na umeme,shule kukosa madarasa ,mabweni,maabara nk

Wafanyazi wakisotea mishahara yao bila kupandishwa

Wanasiasa na wakuu wa idara wakinunua mi VXR,GXR, Toyota pickups new model

Miafrika ndivyo ilivyo alijisema jamaa mmoja wa ikungulyabashashi
Duh! we jamaa noma!
 
Hii idea ya kuwanunulia maofisa wa serikali VXR,GXR, V8 kwa nchi maskini kama Tanzania nimeshindwa kuielewa kabisa, dadeki ningekuwa mimi wote wakurugenzi,wakuu wa wilaya etc ingekuwa ni bodaboda tuu na anayetaka V8 akakope bank la kwake
Boda boda? you can't be serious Bora ungesema IST au vits
 
Shida ya watanzania ni kutokuwa wabunifu hata wakitoka vyuoni malengo ni kuajiriwa tu, unatakiwa ufikiri zaidi na kubuni kazi zipo nyingi tu tatizo tunataka kazi za ofisini tu
Siyo kazi za ofisini tu bali kazi iwe mjini tena mjini kweli, Mimi naona Tanzania kazi bado ni nyingi sana tatizo lipo kwa wananchi wenyewe kutokujua nini wanataka ila wachache tu ndo wanajielewa imagine uwekezaji mkubwa upo mjini sehemu zilizoendelea lakini ikitokea Serikali inataka kuwekeza vijijini watu hawataki na wanabeza kweli tena sana Sasa hizo ajira zilizotosha watu wa zamani tena mjini zisipoongezwa vijijini zitatoka wapi? Vijijini Sasa ndo kupelekwe maendeleo kwa wingi kiasi cha kuwa na umeme, maji, shule, vyuo vya Veta na Vikuu, barabara, hospital kubwa yaani hizo huduma tu zitaajili watu wengi Sasa hizo huduma serikali iombe na mashirika ya Dini na wale taasisi za misaada wajenge vijijini huduma hizo hayo yote yanatakiwa wananchi waweke msisitizo kwa serikali Ili wale wanahitaji kazi wapate kazi wafanye maana Kuna wengine hata iweje hawataki kazi wanapenda tu kulaumu na kupiga kelele bila kujishughulisha kwa kisingizio cha kukosa ajira, kingine wananchi waombe serikali mikopo ya riba ndogo Ili wale wanaohitaji mitaji wakope wafungue ofisi zao imagine Raisi alisema BOT wapunguze mikopo lakini watu wamekaa kimya hata hawaulizi hiyo ajenda itafanyiwa kazi lini? tena wengine wanapinga watu wasikope kwa riba ndogo Ili watu waendelee kukosa mitaji na meetings watu wapate ajenda za kupiga kelele huku umri wa kufanya kazi wakiwa na nguvu unawatupa mkono, hivyo watu tuamuke kuomba vijiji vigeuzwe mjini na viwanda na huduma zote kubwa na ndogo ziwe vijijini na watu wote watapata kazi iwe za kusajiliwa au za kujiajili.
 
Wajitetee wenyewe pamoja na mama zao. Kwa nini usubiri mwanasiasa akutetee kama unaona kuna jambo halipo sawa,huo ni ujinga. Ndio maana hata harakati za katiba hazisogei pakubwa kwa sababu tunasubiri wanasiasa waipiganie
 
Nchi ina upungufu mkubwa sana wa Wahasibu, Madaktari, Wahandisi, Manesi na fields nyingine mbali mbali lakini Serikali hii haramu wakimaliza masomo yao wanawaambia MJIAJIRI!!!! Watajiajiri vipi wakati wanatoka katika familia za kimaskini hawana hata senti ya mtaji.
Wakati huo huo Serikali haramu inanunua ndege 11 kwa cash trillion 4 na ushee ndege ambazo zinaishia kuingiza hasara kubwa sana kwa Taifa. Miaka mitano iliyopita kuanzia 2016 hasara ya ndege hizi kwa Taifa ni bilioni 364 au sawa na bilioni 73 kila mwaka!!!
Maccm yenyewe yanatanua kwa kununua magari ya kifahari yenye bei mbaya sana bila kujali hali halisi ya maisha ya ufukara wa kutisha ya Watanzania wengi.



Mwenyezi Mungu inusuru nchi yetu na hili genge la wahuni na wauaji la maccm. 🙏🏾

Viongozi wana raha sana, na hapo Pole Pole hajazungumzia posho na mishahara.

Sijui kwa nini wasiongeze nafasi za Viongozi ili Watu wengi tupate hizi fursa, ni wengi tunapenda jamani.
 
Mwanachuo kwa sasa atajibana matumizi sana na nawapongeza kwa hilo, Lakini lengo la kujibana matumizi ni apate simu ya toleo jipya na la kisasa kwa ajili ya kuangalia picha na kuonyesha watu, Hawajui kazi zingine za simu
Hapa upo sahihi, na hili ni janga kubwa mno🤔
 
Maisha yanaenda kasi sana na yamebadilika sana, Leo vijana wanaosoma chuo wanaona aibu kubeba bahasha ya kaki barabarani

Enzi zetu kusoma chuo ilikuwa ni sifa kubwa sana, Haikuwa rahisi kufaulu mitihani ya form six au Form four hata kidogo

Wale waliofauli form six bado kama walijiunga na chuo Kikuu cha Dar es Salaam walikutana na mitihani mungine uliitwa "University Matriculation Test" na hapo ukifeli unatupwa nje na Division yako One

Majina ya matokeo ya mitihani yetu yalibandikwa live kwenye magazeti kila mtu anakusoma umepata alama gani sio kama Leo tunakutana na namba tu za mtahiniwa bila jina

Mimi binafsi Nilipata kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu, Nilienda interview kwa kujiamini bila hofu kuwa sijamaliza chuo, Niliamua kutoogopa baada ya kuona Rafiki yangu amepata kazi taasisi nzuri huku tukiwa tunasoma wote mwaka wa pili chuo kikuu

Niliulizwa maswali na Panel ya watu kumi huku wote wakinibana nikifeli chuo itakuwaje kwani sina matokeo hata ya mwaka wa pili mkononi na wala hata barua tu sina bali nina Provisional Results ya First year na nilikuwa na GPA ya kawaida sana sana

Nilielezea mambo kwa upana mpaka HR pamoja na Department inayohitaji mtu wakauliza kama nimewahi fanya kazi hiyo nikiwa shule ya msingi au sekondari nikawajibu hapana, Wakauliza wewe Kijana mdogo Haya mambo ya ofsini uliyajua wapi?

Out ya vipengele kumi nilivyoulizwa Nilishindwa swali moja tu ambalo ni

Je? unataka tukulipe kiasi gani cha mshahara kwa mwezi. Hili suala nilivurunda hasa kwani sikuwahi Fikiri kuna swali kama hilo, Mimi nilijibu tu kuwa Nyie kama taasisi mnataratibu zenu za mishahara na scale zenu hivyo kwa mtu kama mimi na uwezo nilionao itatokana na utaratibu wenu, Hapa nilichemka na nikapewa marks za hovyo

Baada ya kumaliza chuo nikafanya kazi kwa mwaka mmoja nikaambiwa sasa andika Application letter vizuri ya kazi ili tuweke kwenye faili lako

Uwezo wetu wa kujiamini huwezi kufananisha na vijana wa sasa, Uwezo wetu wa kufikiri mambo ulitanuka na kubadilika sana pale tu ukifika Form Six

Enzi hizo hakuna Spoon feeding, Hakuna madesa wala vitini, Shule ni shule, Ni kusoma vitabu haswa na kuelewa concept

Turudi kwenye lengo la uzi

Mosi, Vijana wa sasa wapo vyuo vikuu hawawezi hata kuunganisha sentensi mbili za Kiingereza na anasoma masomo ya Sanaa au biashara sio engineering, Wachache wapo vizuri

Pili, Wale bright ambao ni wachache sana na wanaajiriwa na kuajirika vizuri hatuna shida nao, Wengi wanatumia simu zao kuangalia picha Instagram, na Facebook

Mwanachuo kwa sasa simu inamsaidia kuangalia umbea, Picha za wema Sepetu, Habari za Mange kimambi na Diamond Platinum, Simu zao wapo bize kuangalia picha tu,

Mwanachuo kwa sasa atajibana matumizi sana na nawapongeza kwa hilo, Lakini lengo la kujibana matumizi ni apate simu ya toleo jipya na la kisasa kwa ajili ya kuangalia picha na kuonyesha watu, Hawajui kazi zingine za simu


Wanasiasa wanaelewa kinachoendelea kwenye elimu yetu kwa sasa ndio maana wapo kimya sana

Kuna sera kama Big Results Now au BRN zimetengeneza wanafunzi wenye uelewa mdogo sana

Sera za kulenga kufaulu sasa wanafunzi hawasomi bali wanafanya maswali ya kujibu mitihani, Hii umejenga uelewa mdogo sana

Vijana wachache wako vizuri kwa sasa, Wengi ya wanachuo kuna kazi kubwa ya kufanya
My services include, but are not limited to:

  • Web designing
  • Logo designing
  • Online business or company registration (BRELA,TIN)
  • Airline and Bus ticketing (Domestic & International)
  • Passport and Visa Registration
  • Studying abroad programs (China, Germany, Malaysia, India and etc.)
  • Online imports and export services (India, China, Malaysia and etc.)
  • And any other I.T support/consultant services.

 
Maisha yanaenda kasi sana na yamebadilika sana, Leo vijana wanaosoma chuo wanaona aibu kubeba bahasha ya kaki barabarani

Enzi zetu kusoma chuo ilikuwa ni sifa kubwa sana, Haikuwa rahisi kufaulu mitihani ya form six au Form four hata kidogo

Wale waliofauli form six bado kama walijiunga na chuo Kikuu cha Dar es Salaam walikutana na mitihani mungine uliitwa "University Matriculation Test" na hapo ukifeli unatupwa nje na Division yako One

Majina ya matokeo ya mitihani yetu yalibandikwa live kwenye magazeti kila mtu anakusoma umepata alama gani sio kama Leo tunakutana na namba tu za mtahiniwa bila jina

Mimi binafsi Nilipata kazi nikiwa mwaka wa pili chuo Kikuu, Nilienda interview kwa kujiamini bila hofu kuwa sijamaliza chuo, Niliamua kutoogopa baada ya kuona Rafiki yangu amepata kazi taasisi nzuri huku tukiwa tunasoma wote mwaka wa pili chuo kikuu

Niliulizwa maswali na Panel ya watu kumi huku wote wakinibana nikifeli chuo itakuwaje kwani sina matokeo hata ya mwaka wa pili mkononi na wala hata barua tu sina bali nina Provisional Results ya First year na nilikuwa na GPA ya kawaida sana sana

Nilielezea mambo kwa upana mpaka HR pamoja na Department inayohitaji mtu wakauliza kama nimewahi fanya kazi hiyo nikiwa shule ya msingi au sekondari nikawajibu hapana, Wakauliza wewe Kijana mdogo Haya mambo ya ofsini uliyajua wapi?

Out ya vipengele kumi nilivyoulizwa Nilishindwa swali moja tu ambalo ni

Je? unataka tukulipe kiasi gani cha mshahara kwa mwezi. Hili suala nilivurunda hasa kwani sikuwahi Fikiri kuna swali kama hilo, Mimi nilijibu tu kuwa Nyie kama taasisi mnataratibu zenu za mishahara na scale zenu hivyo kwa mtu kama mimi na uwezo nilionao itatokana na utaratibu wenu, Hapa nilichemka na nikapewa marks za hovyo

Baada ya kumaliza chuo nikafanya kazi kwa mwaka mmoja nikaambiwa sasa andika Application letter vizuri ya kazi ili tuweke kwenye faili lako

Uwezo wetu wa kujiamini huwezi kufananisha na vijana wa sasa, Uwezo wetu wa kufikiri mambo ulitanuka na kubadilika sana pale tu ukifika Form Six

Enzi hizo hakuna Spoon feeding, Hakuna madesa wala vitini, Shule ni shule, Ni kusoma vitabu haswa na kuelewa concept

Turudi kwenye lengo la uzi

Mosi, Vijana wa sasa wapo vyuo vikuu hawawezi hata kuunganisha sentensi mbili za Kiingereza na anasoma masomo ya Sanaa au biashara sio engineering, Wachache wapo vizuri

Pili, Wale bright ambao ni wachache sana na wanaajiriwa na kuajirika vizuri hatuna shida nao, Wengi wanatumia simu zao kuangalia picha Instagram, na Facebook

Mwanachuo kwa sasa simu inamsaidia kuangalia umbea, Picha za wema Sepetu, Habari za Mange kimambi na Diamond Platinum, Simu zao wapo bize kuangalia picha tu,

Mwanachuo kwa sasa atajibana matumizi sana na nawapongeza kwa hilo, Lakini lengo la kujibana matumizi ni apate simu ya toleo jipya na la kisasa kwa ajili ya kuangalia picha na kuonyesha watu, Hawajui kazi zingine za simu


Wanasiasa wanaelewa kinachoendelea kwenye elimu yetu kwa sasa ndio maana wapo kimya sana

Kuna sera kama Big Results Now au BRN zimetengeneza wanafunzi wenye uelewa mdogo sana

Sera za kulenga kufaulu sasa wanafunzi hawasomi bali wanafanya maswali ya kujibu mitihani, Hii umejenga uelewa mdogo sana

Vijana wachache wako vizuri kwa sasa, Wengi ya wanachuo kuna kazi kubwa ya kufanya
Umefanya self praise.

Ulichoandika ni completely out of Content, out of proportional...🤣🤣😁😁🙄🙄
 
Back
Top Bottom