GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
- Thread starter
- #41
That is real situationUmefanya self praise.
Ulichoandika ni completely out of Content, out of proportional...
Hili ni tatizo kubwa sana kwa vijana wa sasa, Vijana ukiwapa kazi hata ndani ya Chama hawataki neno kutembelea vijijini ila ukisema kuna Safari ya China kila wakati utasikia Boss Pole na kazi
Sio Self Praise huu ndio uhalisia
Kama una vijana wamemaliza chuo au ndugu zako nita ku PM uniletee waje wajitolee kwa miezi mitatu tu, Wengi tumewajaribu lakini wavivu sana sana, Pesa wanataka kujifunza hawataki