mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,644
- 4,945
kuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka pua wanatoa maana hereni wameona haziwatoshi. mwanamke tunavaa modo kutokana na maumbile yetu sasa hili la mwanaume unavaa modo ili? kiukweli wanaume wa sasa mnafika mahali mnajidhalilisha sana mwanaume unatoboa pua?
Maadili ya vijana yameshuka sana sasa hivi
Hofu ya Mungu imetupotea kabisa!!
Umagharibi umetutawala sana!
Sasa hivi social media ndo zinatulea kwenye kila nyanja!
hivi mnajisikiaje kuona hao wanaume wenzenu wakiwa hivyo?Naona unakosea kidogo ku-generalize wanaume wa Dar na wengineo, si wote tuko huko. Asilimia kubwa ya wanaume wa Dar ni mboga a.k.a. samaki kwa sababu wanabinduliwa na kubindua na kama ukizoea haka kamchezo lazima utajikuta siku unamuiga dada ama mkeo kujichumbua kisha mnaanza kugombania vioo ndani ya nyumba. Pole kwa kuumizwa na umpendaye aliyesuka nywele na kujitoboa pua.
ndo tatizo hilo sasa!!Nchi za magharibi kuwa ms.enge ni trend na unaheshimika, huku Bongo wanaume wa Dar wanalazimisha use.nge/ushoga ili wauze sura mitandaoni na kupewa misaada na wazungu watalii.
Shauri zao mimi kwetu Kilimanjaro huku Dar nakujaga kikazi tuhivi mnajisikiaje kuona hao wanaume wenzenu wakiwa hivyo?
We jitahid kumlea mtoto wako vizur coz na umombee Dua mana hayo mambo hayatabirikikuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka pua wanatoa maana hereni wameona haziwatoshi. mwanamke tunavaa modo kutokana na maumbile yetu sasa hili la mwanaume unavaa modo ili? kiukweli wanaume wa sasa mnafika mahali mnajidhalilisha sana mwanaume unatoboa pua?
Hahahahah vijana wa Dar wanadai tuwape break..et vngne tunawasngzia!!!hahahahInabidi hawa wanaume wa Dar tuwawekee kodi maalum ya kujirembua na kujiremba huenda hili wimbi likapungua mkuu!
ndo tatizo hilo sasa!!
kizazi kimeharibika sana hk!
hivi mnajisikiaje kuona hao wanaume wenzenu wakiwa hivyo?
Yaani inasikitisha sana....utakuta kijana anapoteza muda wake wote kutafuta namna ya kutoka ili tu awe kituko mtaani. Kuna wanaounywa maji ndoo nzima ili wawe weupe kama wazungu.
Hivi ni link utatuacha maana so kwakutuandama huku kila kitu kwa wanaume kwako kibaya so sadkuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka pua wanatoa maana hereni wameona haziwatoshi. mwanamke tunavaa modo kutokana na maumbile yetu sasa hili la mwanaume unavaa modo ili? kiukweli wanaume wa sasa mnafika mahali mnajidhalilisha sana mwanaume unatoboa pua?
Mimi hujanikwaza siku moja uwe na point za mini kifanyike pasipo kulaumukwani mkuu kipi nimeandika apo kimekukwaza?