Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,349
- 8,081
Ili hawa jamaa ambao ni mabingwa wa kujikomba, Clouds FM na wao waisome namba vyema, kwenye tamasha lao la fiesta tudai risiti za EFD
Tuwakomalie aisee... Wamezidi kujikomba hawaSure
Naona Sasa imekuwa msemaji wa kamishna wa TRAElimu buree siomchezo azikuwepo KWENYE bajeti
Tunaitaji madawatii....mh Rais tunaombaa haya matamasha yoote NA sioo cloudsfm tu waanze tumia Efd Machine
Nawaza kwanini vlabu vya usiku visitumie efd machine pia ??
Naona Sasa imekuwa msemaji wa kamishna wa TRA
Wameamka!! ama. Wamekalia umbea na Majungu!Naona watanzania sasa wameamka
Tulipetu NA resit zetuWameamka!! ama. Wamekalia umbea na Majungu!
Sawa mbona tunaombwa tena tuchangie baadhi ya huduma! kama madawati ya wanafunzi, kwa nini hizo kodi tunazotoa zisifanye hizo Mambo kwa wakati unaofaa?Tulipetu NA resit zetu
Mtoa mada umesema jambo la mbolea sana.. Kwenye hayo matamasha hawa wajinga wanapiga pesa sana na serikal haipati kodi yake.. Kiukwel hawa jamaa wakatwe tuIli hawa jamaa ambao ni mabingwa wa kujikomba, Clouds FM na wao waisome namba vyema, kwenye tamasha lao la fiesta tudai risiti za EFD
Naunga mkono hoja..
Mtoa mada umesema jambo la mbolea sana.. Kwenye hayo matamasha hawa wajinga wanapiga pesa sana na serikal haipati kodi yake.. Kiukwel hawa jamaa wakatwe tu
WaTz Wanaanza Kuendana Kidogoo Na Speed Ya Mkuu Wa NchiNaona watanzania sasa wameamka
Elimu buree siomchezo azikuwepo KWENYE bajeti
Tunaitaji madawatii....mh Rais tunaombaa haya matamasha yoote NA sioo cloudsfm tu waanze tumia Efd Machine
Nawaza kwanini vlabu vya usiku visitumie efd machine pia ??
Wameamka!! ama. Wamekalia umbea na Majungu!