Tuwachore Shilingi haipandi itazidi kushuka.............

Inabidi wazalishaji wa ndani waongeze ubora wa bidha....
 
Mama Madabida yuko bungeni, kiwanda, chake cha dawa ARUSHA kinazalisha madawa chini ya kiwango,namshauri awachane na siasa asimamie kiwanda aokoe maisha yetu na akuze uchumi wetu.atapata baraka za Mungu kuliko huko kwenye siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…