Tuusaidie upinzani kupata hoja ya kujishikiza!

Unamaanisha hoja za wapinzani ni lazima zipitie au kutokea bungeni?

Kuna social media mnazozitumia kurusha upuuzi au vituko kwa nini hamtumii?
 
Wal
ivyomtoa Slaa kwa ujuaji wao kumbe kila mtu amepewa karama yake. Wamrudishe Slaa kama hawajapanda chati!
 
Wal

ivyomtoa Slaa kwa ujuaji wao kumbe kila mtu amepewa karama yake. Wamrudishe Slaa kama hawajapanda chati!
Kama Dr slaa anakipaji c mmsajili hapo Lumumba? eti ana karama , kwnn msimchukue awasaidie kuua upinzani? ...au ndo hasira za UDC mnazihamishia chadema?
 
Unamaanisha hoja za wapinzani ni lazima zipitie au kutokea bungeni?

Kuna social media mnazozitumia kurusha upuuzi au vituko kwa nini hamtumii?
 
Kama Dr slaa anakipaji c mmsajili hapo Lumumba? eti ana karama , kwnn msimchukue awasaidie kuua upinzani? ...au ndo hasira za UDC mnazihamishia chadema?
Usinichekeshe. UDC kwa level yangu ni Cheo kidogo saana! Wewe unachojua ni Lummumba na Ufipa Baasi. Wengine sisi ni Neutral what we want ni maendeleo baasi hayataletwa kwa kutoka Bungeni huku bado wananyemelea posho shame on them. Tusingekuwa na strong woman saa hizi wangekuwa wanaenda kulala na posho wanachukua. They have let us down kwa kweli!
 
Acha kujishebedua ww ...una Hadhi gani mpka uuone UDC ni level ndogo kwako? Au ndo sizitaki mbichi hz? vijana wa Lumumba mmepauka midomo kwa njaa Kali ,maana posho zimekuwa adimu kutoka b7 hadi 2500 tu ...
 
Acha kujishebedua ww ...una Hadhi gani mpka uuone UDC ni level ndogo kwako? Au ndo sizitaki mbichi hz? vijana wa Lumumba mmepauka midomo kwa njaa Kali ,maana posho zimekuwa adimu kutoka b7 hadi 2500 tu ...
Pole sana kwa post hii nimegundua wewe ni level gani? Sasa ndio nikueleze sitaki sema mengi ila UDC kwangu mimi ni level ndogo sana. Sijasema UDC ni level ndogo naomba unielewe hapa najilingani sha na mimi kwangu ni level ndogo Umenielewa sijui!
 
Sijawahi kuona ukileta uzi fikirishi au wenye hoja,ni mwendelezo wa vioja kuwatumikia mabwana zako hao madikteta uchwara!
 
Pole sana kwa post hii nimegundua wewe ni level gani? Sasa ndio nikueleze sitaki sema mengi ila UDC kwangu mimi ni level ndogo sana. Sijasema UDC ni level ndogo naomba unielewe hapa najilingani sha na mimi kwangu ni level ndogo Umenielewa sijui!
Teh teh teh ...na mm nimegudua kuwa ww hustahili hiyo nafasi ...kifupi unastahili kuwa afisa mtendaji wa mtaa....
 
Teh teh teh ...na mm nimegudua kuwa ww hustahili hiyo nafasi ...kifupi unastahili kuwa afisa mtendaji wa mtaa....
Pole yako naona hicho Cheo Cha Afisa mtendaji wa Mtaa ndio umekiona Kikubwaaa saana kwako. Anyway sikulaumu alal in all Afisa mtendaji, DC, Rc wote hao ni watu muhimusaaana katika maendeleo ya nchi yetu hivyo hebu waache wafanye kazi wengine wenye professional zetu pia tufanye kazi husika. Cha muhimu kila mmoja kwenye nafasi yake afanye kazi ukiwemo wewe sio kukaa kulia lia hapa ukadhani maendeleo yanakuja kwa kulia lia!
 
Mtendaji Wa mtaa ndo size yako na si vinginevyo...
 
Mtendaji Wa mtaa ndo size yako na si vinginevyo...
Dah inaonekana hicho cheo unakipenda kweli maana hakikukauki mdomoni! Hongerah sana ila si haba kila mtu anafurahia kupanda hatua moja. Ila kumbuka hicho cheo ni cha muhimu sana Tanzania hii usidhani utafika huko na kuanza zungusha mikono! Mind you! Hii Serekali ni ya hapa kazi tu! Maana hamkawii kufika na kuazna kususa kuingia kazini kisa huelewani na bosi wako badala ya kujenga hoja!
 
Haya bhana mwana mvua ..ww si utakipata kwa kuzungusha kiuno?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…