MAUBIG
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,039
- 854
Habari za muda huu comrades,
Naomba kufahamu mtu yeyote ambaye amewahi fanya interview ya nafasi ya Tutorial Assistant iliyoendeshwa na utumishi kwa upande wa written interview, ni mambo gani huuliza.
Kwa mfano vipi huuliza questions za kada husika au research questions.
Msaada please anyone
Naomba kufahamu mtu yeyote ambaye amewahi fanya interview ya nafasi ya Tutorial Assistant iliyoendeshwa na utumishi kwa upande wa written interview, ni mambo gani huuliza.
Kwa mfano vipi huuliza questions za kada husika au research questions.
Msaada please anyone