Tuthubutu, tuweze na tushinde - CHADEMA

HAZOLE

JF-Expert Member
Feb 25, 2011
1,551
708
Jamani hakuna asiyekubali kuwa jk kachemsha, jamaa anakumbana na matatizo kibao na maamuzi ni tatizo na hii imeambukiza viongozi wa kisiasa na wa taasisi mbalimbali kwa wingi. Chadema should be our plan "b" maana ccm immekufa ingali hai.........
 
Jamani hakuna asiyekubali kuwa jk kachemsha, jamaa anakumbana na matatizo kibao na maamuzi ni tatizo na hii imeambukiza viongozi wa kisiasa na wa taasisi mbalimbali kwa wingi. Chadema should be our plan "b" maana ccm immekufa ingali hai.........
Basi kajitose kwenye kampeni Igunga. Maneno tu hayasaidii kitu. Sasa hivi CHADEMA siyo plan B bali ni plan A in the waiting. Play your part and make it happen.
 
jamaa kwa sasa ni chali,,,anawaza kusafiri agundua bara jipya, ndo kilichobaki!!!peoplez power twasonga mbele!!!nchi yetu 2015!
 
Another back seat driver. So what have you suggested as an alternative blueprint for the country's development? It's beyond me why do we unremittingly engage into belittling whatever JK's government has performed yet failing to delineate our alternative plans.
 
Labda mnye mnye
mzee wa likes nduka, kuokoka kusiishie kanisani tu, tunahitaji kujitoa katika minyororo hii. pia nasi tubadilike, wamepandisha bei ya mafuta tunashangaa, kwani mpaka chadema waandamane ndo mjue?? wa tz sisi ni mateja
 
wanaodhihaki wako mbali sana na historia!! haijalishi ni cdm au lah ila historia iko wazi watanzania nasi tunaelekea kukamilisha hilo, anguko la ccm wala halipingiki, ufalme wao umekwisha tunasubiri muda tuu! kinachofanywa na cdm leo hii ni kuwaandaa watanzania waichukue nchi yao baada ya muda mrefu kuwapa dhamana wachache kwa imani kubwa lakini leo hii wamejitwalia kila kitu wamejisahau wanaamini nchi ni yao na itaendelea kuwa yao lakini ni upofu wa fikra kwani kila kitu kiko wazi, historia iko wazi nchi itarudi kwa wanyonge, soma mapinduzi ya irani, soma mapinduzi ya ufaransa, hata ndugu zetu wa kenya, zanzibar n.k. nimeacha kutaja ya misri na tunisai makusudi pia watanzania tusiwe na hofu lazma tukubali kadamu katamwagika kama hawatapenda kuachia nchi kiuungwana, mapinduzi yawayo yote ya kiuchumi, kisiasa, kijamii hayaji kirahisi panapotakiwa damu kumwagika lazma imwagike kwa faiada ya wengi vizazi na vizazi. kwa wenzetu wakristo wanaamini katika damu ya yesu iliyomwagika msalabani kwa ajili ya ukombozi wa wengi hivyo wapiganaji wenzangu tusiwewabinafsi tupigane kwa pamoja hadi ushindi utakapokuwa wetu. ALUTA CONTINUA.BY MPARENT
 
wanaodhihaki wako mbali sana na historia!! haijalishi ni cdm au lah ila historia iko wazi watanzania nasi tunaelekea kukamilisha hilo, anguko la ccm wala halipingiki, ufalme wao umekwisha tunasubiri muda tuu! kinachofanywa na cdm leo hii ni kuwaandaa watanzania waichukue nchi yao baada ya muda mrefu kuwapa dhamana wachache kwa imani kubwa lakini leo hii wamejitwalia kila kitu wamejisahau wanaamini nchi ni yao na itaendelea kuwa yao lakini ni upofu wa fikra kwani kila kitu kiko wazi, historia iko wazi nchi itarudi kwa wanyonge, soma mapinduzi ya irani, soma mapinduzi ya ufaransa, hata ndugu zetu wa kenya, zanzibar n.k. nimeacha kutaja ya misri na tunisai makusudi pia watanzania tusiwe na hofu lazma tukubali kadamu katamwagika kama hawatapenda kuachia nchi kiuungwana, mapinduzi yawayo yote ya kiuchumi, kisiasa, kijamii hayaji kirahisi panapotakiwa damu kumwagika lazma imwagike kwa faiada ya wengi vizazi na vizazi. kwa wenzetu wakristo wanaamini katika damu ya yesu iliyomwagika msalabani kwa ajili ya ukombozi wa wengi hivyo wapiganaji wenzangu tusiwewabinafsi tupigane kwa pamoja hadi ushindi utakapokuwa wetu. ALUTA CONTINUA.BY MPARENT

ID yako inatosha kujua wewe ni mtu wa wapi na CDM ni chama cha wapi
 
Tatizo kubwa ni polisi. Hawa jamaa wananikera sana, kwanza wao ndo miongoni mwa wafanyakazi wasiothaminiwa kabisa lakini hawawezi kutambua ili waweze kusimamia misingi ya kazi yao. CDM waelimishe hawa polisi, elimu hiyo itasaidia kukuza democrasia, shida zaidi nafikiri ni kiwango chao cha elimu wanayoajiriwa nayo ni ndogo mno. Zaidi tuendelee kupigana ili tudumishe ushindi kwani MUNGU YUPO UPANDE WETU TUTASHINDA.
 
Jamani mwaka huu tunadhimisha miaka 50 uhuru mnaonaje siku hiyo
ndo tufanye mabadiliko au sio wakubwa
 
3.jpg

4.jpg
 
What a crap, CCM itabaki kuwa chama tawala kuanzia sasa na kuendelea kama unamuamini nyerere utaamini na hii kauli yangu..... upinzani utaanzia CCM hakuna nyie waganga njaa CDM kaeni kimyaa........... wana igunga CCM oyeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!
 
Labda mnye mnye

Hapo ndugu umenena hawa jamaa moderator anawasaidia sana post zetu wengine za kuelezea mafanikio ya serikali haweke naanza kushawishika JF sio huru hata wakinipiga bun
 
Back
Top Bottom