Mkuu mbona ninaona kama umejijibu?
Hiyo ipo kiimani zaidi. Ufufuo uongelewao na yesu ni hukumu. Kufufua ukilichukulia kwa kiswahili sanifu ni kuhuisha. Sasa kufufua 'wazima' na wafu! Kwanini wazima wafufuliwe kabla hawajafa?
Kiama maana yake ni mwisho wa dunia. Hapo kutakuwa na makundi mawili, 'wazima' ( watakatifu)na 'wafu' (waliotenda dhambi).
Lakini kiuhalisia hakuna kitakachokuwepo hai wakati kiama kinafika. Uelewe kila nafsi itaonja mauti.
Hizo imani zingine za Kibudha za kuzaliwa upya sizijui.