grndossy
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 311
- 80
[h=2]Tutapona kweli! [/h]
Nafikiri hii ni hali iliyo katika sehemu nyingi za miji ya Tanzania. Maji tunayotumia sehemu za mijini hatujui yanakopatikana na kwa neema ya Mungu tunaendelea tu kuishi. |
Katika hali ya kawaida katika mazingira haya tunayokula makachumbari, vyakula ambavyo sahani zimeoshwa kwa maji yasiyochemshwa, matunda yaliyosafishwa na maji ya aina hii, maisha yetu ni salama kweli? Je hapa nani wa kulaumiwa; huyu anayechota maji au yule aliyepaswa kuhakikisha huyu kijana anapata maji safi na salama? Kazi kwenu wadau. |