Ukiona hivyo ujue Israili ameshakabidhiwa faili lake tayari na sisi Watanganyika tunamtakia Israili utendaji uliotukuka.Mbona kama wameanza kuaga mapema sana kwani wanaenda wapi.
Alianza Samia mwenyewe akasema mtanikumbuka, leo Mchengerwa naye kasema mtamkumbuka.
Nakumbuka hata wakati wa mwisho wa enzi za Mwendazake naye alianza kutamka maneno haya haya kuwa mtanikumbuka, binafsi sijui nini kinaendelea.
Kwamba wanakaribia kwenda njia ya mababu na mabibi zetu!Ukiona hivyo ujue Israili ameshakabidhiwa faili lake tayari na sisi Watanganyika tunamtakia Israili utendaji uliotukuka.
Yuko sahihi Vipi we chakubanga2,Rafiki wa polo?!Yuko sahihi.
Amen.Ukiona hivyo ujue Israili ameshakabidhiwa faili lake tayari na sisi Watanganyika tunamtakia Israili utendaji uliotukuka.
Mkuu kama inawezekana ongeza vinyama kidogo kuhusu huyo jamaa "Che".Huyu jamaa masaa machache kabla ya utekaji wa Polepole katika usiku ambao Polepole alitekwa , huyu mtu aliweka whatsapp status ya picha ya aliyekuwa mwanaharakati Che, Che anafahamika kwa msemo wake maarufu 'Hasta la victoria siempre!' ambapo Polepole alipenda kuutumia..
Usiku huo huo balozi Polepole akatekwa..
Che Guevara?Mkuu kama inawezekana ongeza vinyama kidogo kuhusu huyo jamaa "Che".
Ndio.Che Guevara?
ANAWAHI DUBAI! kwa ndugu zake WAARABUMbona kama ameanza kuaga mapema sana kwani anaenda wapi.
Alianza Samia mwenyewe akasema mtanikumbuka, leo Mchengerwa naye kasema mtamkumbuka.
Nakumbuka hata wakati wa mwisho wa enzi za Mwendazake naye alianza kutamka maneno haya haya kuwa mtanikumbuka, binafsi sijui nini kinaendelea.
View attachment 3636121