Tutakavyo sahau tukio la Acqulina

Tutakavyo sahau tukio la Acqulina

Bugals Edward

Member
Joined
Jan 13, 2018
Posts
37
Reaction score
7
Kumbuka yule jamaa aliekuwa kiongozi wa CHADEMA aliekutwa amenyongwa na kuuwawa kikatili, eti tumesha msahau,,,, kisa tukio la juzi kwenye uchaguzi wa kinondoni,,,,
Drop reply matukio gani yalitusahaulisha matukio haya
a,)kutekwa kwa roma,
b) kupigwa risasi kwa Tundu lissu
c)kukutwa kwa mizoga mto rufiji
d)makinikia
Weka na tukio tulilo kwisha sahau na tutakavyo sahau na hili la kinondoni
 
Ni kawaida ya binadamu kusahau ila wazazi wa huyo mtoto hawatasahau
 
Back
Top Bottom