hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Hahaha aise
hii inapita na wengi. Haha
hii inapita na wengi. Haha
Haijawahi kuwa dhambi hiiPunyeto.
Ni kweli hata huko tunakoelekea watu watakuwa wanatembea wamevaa chupi tu, itazoeleka na itakuwa kitu cha kawaida.Back years early 2000s pale FPCT Tabora mchungaji alihubiri Kwa ushujaa akisema simu ni dhambi na zimetengenezwa toka kuzimu kuharibu kizazi hiki! Kwa kuwa wengi hatukuwa na simu tulijikuta kuzichukia!
Few months nimepita pale, Mzee anazo kama 3 na tablet juu!!
Dhambi nyingine zilikuwa kuvaa jinzi, kupaka shedo, kuweka kalikiti kichwani (maarufu kupaka dawa), kuvaa wigi, mwanamke kuvaa suruali, mwanamke kuvaa sketi yenye mpasuo, nk!
Siku hizi hizi sio dhambi, maana madhehebu yote wanajiachia tu!
Tutende mema, huyo Mungu Kama yupo tunamjaza maneno ambayo tunakuja kuyakanusha wenyewe!
amri yaZamani kuvaa kapelo, au kofia inayofunika kichwa ni dhambi, kusikiliza mziki hiphop, rnb, reggae hata style za unyoaji ni dhambi.
Siku hizi zime expire.
Sheria za Mungu.
1. Usiwe na Miungu mingine zaidi ya aliyeumba ulimwengu.
2. Usijifanyie sanamu ya kuchonga yenye mfano wowote wa kitu kilicho duniani au mbinguni na kukiabudu.
3. Usilitaje jina Mungu bure. (Maana jina lake ni takatifu mno)
4.Ikumbuke siku ya saba ya Juma ambayo inaitwa sabato, usifanye kazi yoyote inayokupa ridhiki. Siku ya saba utaitambua kwa kutumia kalenda ya lunisolar calendar ambayo unaweza kuidownload playstore au apple
5.Waheshimu baba na mama yako. Yaani watu wote waliozaliwa kabla yako.
6. Usiue wala kumchukia mwenzako.
7.Usizini na mwanamke, Ufilaji, wala kufanya uasherati.
8. Usiseme uongo. Wala kufanya utapeli wowote. Usitoe taarifa isiyo sahihi, ni bora ukae kimya.
9.Usimtamani mke wa jirani yako. Wala mume wa mtu usimtamani.
10. Usitamani mali ya jirani yako, Kwa maana ya kupora, kufanya fitina ili cha mtu kiwe chako.
Hizo ni Amri kumi zipatikanazo kwenye neno lake Mungu,
Note: Fahirisi imeongezewa kidogo.
zamani nilishuhudia babu akimkimbiza shangazi yetu kisa mjamzitoMschana kuzaa nyumbani ilikua ni dhambi kubwa sana, ila siku hz ni kawaida na hata wachungaji wetu husikii wakiubiri kwamba kuzaa nyumbani kabla ya kuolewa ni dhambi, unaweza ukaingia kwenye mji wa mtu ukamwona mwanamke ana watoto 2 ukiulizia unaambiwa ni binti yupo kwao.
Hili.makanisa mengi yakiwemo wasabato,walokole,wakatoliki,anglikana no walilivalia njuga kuwa Biblia inasema mwanamke asivae nguo zimpasazo mwanaume.Wakasahau kuwa jeans za Wanawake Ni tofauti na jeans za wanaume .jeans za kike ni vazi la kike si la kiume sababu jeans za kike hakuna mwanaume aweza vaa.kuna mkutano wa maaskofu katoliki ulitanyika bagamoyo nikaenda kutalii pale beach sehemu ya hoteli ya stela Maris. Kulikuwa na masista wazungu walitoka ulaya walikuwa sehemu ya mkutano Kama sekretariat or whatever walikuwa wamevaa jeans na walikuwa wakienda mkutanoni nazo . .Hakuna Bishop Katoliki aliwaambia wasivae jeans wazungu wale masista mkutanoni.Nikauliza chapombe Askofu mmoja aliyekuwa kakaa nao nikaambiwa ulaya Sio masista wote huvaa gubigubi na hijabu za kisista Kama masista wa Tanzania .Wale huvaa kawaida casual kuonyesha kuwa they are part of the society.Africa naona litakuja tu.Sababu sielewi kwa Nini mkutano ule uliohusisha maaskofu katoliki hawakuzuia masista wazungu kuingia na jeans mikutano yao pale Stella Maris hotel bagamoyo Labda sababu Ni wafadhili.TEC Hilo vipi any comment pleaseWabawake kuvaa suruali
Mimi naona ni dhambi ndio maana inafanywa kwa siri.Kugegeda si dhambi mkuu iwe umeoa au haujaoa na iwe umeolewa au laa
Ni dhambi, sema watu wanaihalalishaHiii siku hizi sio dhambi kabisa
Inatakiwa watu wawe sexually active baada ya kuoa na kuolewa, kwa waume na wake zao tu.. Dhambi hii itaishaIla ndo dhambi inafanywa Sana hata na watumishi!
Anal sex ...