Tutaje dhambi za zamani ambazo sio dhambi siku hizi!

Mbona watu mnataja vitu ambavyo kibiblia bado ni dhambi? Labda tuspecify kwamba “kitu fulani mi kwangu sio dhambi”.

Anyways nani anaijua togwa? Kijijini kwetu ni aina ya kinywaji watu hunywa hasa wakitoka kufanya kazi ngumu mfano kulima, Sasa Kanisani kwetu zamani tulihubiriwa kuwa kunywa togwa ni dhambi, binafsi niliamini na nikawa sinywi, siku hizi nikiikuta mahali napiga tu.
Togwa naipendaa
 
Matusi.. zamani matusi yalikua dhambi lakini sasa hivi watu wanaitana kwa matusi na hakuna anayechukia..
Unakuta mtu anamuita mwenzake "we msengee umeamkaje?" "We boya kumbe upo?"
Umasikini ni ufala-Mchungaji Lusekelo, Mzee wa Upako!
 
Safi sana Chifu, duniani kuna mawatu mabishi sana hatimaye siku hizi wanakatazwa kula hayo hayo manyama sababu ya kutosagika kirahisi(red meat) hadi kupelekea shida katika ini, chai ya rangi 7bu ya nicotine inayoweza kusababisha presha, hayo masoda yenye kemikali nyingi tena kama Coca-Cola iliyo na vimelea vya cocaine.

Mpaka sasa hivi ni hao hao Wasabato ndiyo wanaoongoza kwa matibabu mengi yenye ubora kwa mimea ya asili "herbalistic treatment" kwa magonjwa ya kawaida na sugu(yaliyoshindikana)
Watakuwa wasabato pori hao, hawa wa kwetu last Jmosi nimealikwa Kwa mlo wa mchana, nimepiga ka-coca cola fresh tu! Kitimoto tunagonga kama kawa!

Kuna rafiki zng wa kike suruali ni Kama ngozi, wanavaa vzr tu na kila Jmos wapo kwenye lesoni!

Tofautisha wasabato Pori na hawa wa kileo!
 
Wachungaji hua wanasema kuangalia picha za ngono ni dhambi,sasa najiuliza wao wamejuaje kama kuna picha za ngono?
Maana yake na wao wanaangalia kwanza,kwa hiyo wengine kuangalia dhambi,ila wao si dhambi,nacheka saaaana!
Ya Gwajima hata Kakobe aliicheki!
 
Endelea kuota ndoto za kimagumashi magumashi ukijifariji kwa kugeuza rangi nyeupe kuwa nyeusi and vise versa is true
Watakuwa wasabato pori hao, hawa wa kwetu last Jmosi nimealikwa Kwa mlo wa mchana, nimepiga ka-coca cola fresh tu! Kitimoto tunagonga kama kawa!

Kuna rafiki zng wa kike suruali ni Kama ngozi, wanavaa vzr tu na kila Jmos wapo kwenye lesoni!

Tofautisha wasabato Pori na hawa wa kileo!
 
Sijakuelewa mkuu Jumong S hebu kwanza niambie maana hasa ya neno Dhambi kisha turudi kwenye mjadala
Asee binafsi nimeelekeza kile wachungaji walikuwa wanasema ni dhambi but Kwa sasa kimepoteza ule u-dhambi na sasa ni Mambo ya kawaida. Mf issue ya simu nadhani tatizo lilikuwa ni elimu/ufahamu wa wachungaji ulikuwa duni.

May be Mambo ya Mungu tunayakuza Sana na kujitengenezea namna tunavyotaka Mungu awe!
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom