interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Hivyo vyote bado ni dhambi hata sasa hivi na isitoshe tayari Watu wengi sana wameshagundua Wasabato walikuwa sahihi baada ya kukutwa na maradhi mazito hadi kushauriwa wasitumie kabisa hivyo vinywaji na nafaka
Wasabato ilikua dhambi kunywa soda , majani ya chain , kahawa, kula nyama , ugali wa mahindi yalokobolewa . hizi zote zilikua dhambi huko nyuma