OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 457
- 773
Bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2025/26 imekadiria kutumia Tsh Trilioni 56.49 ambapo trilioni 16.02 inatokana na mikopo ya masharti nafuu na misaada. Hela hii ni 28% ya bajeti ya serikali. Aidha kwenye makadirio ya makusanyo ya fedha za ndani kunaweza kutokea shida katika kupata kilichokadiriwa cha Tsh Trilioni 40.47. Hela hii ya mapato ya ndani inauwezekano wa kuathiriwa kutokana na kuathiriwa na uchumi kwa hali iliyopo sasa.
Kutokana na yaliyotokea, hata Rais Samia amekiri kuwa tunaweza pata shida ya kupata hizi hela za nje kwa wakati huu ambao baadhi ya nchi, taasis na asasi zimetia doa uchaguzi wa Tanzania. Sasa kama ikitokea watu wote wakakataa kutoa mikopo na misaada maana yake tuna haja ya kuitafuta zaidi ya trilioni 16.02.
Nasema ni zaidi ya trilioni 16 kwa sababu kuna wizara mpya ambayo haikuwa kwenye bajeti ya 2025/26, wizara mpya ya Vijana, ambayo ikiwa na ctivities bila bajeti inaleta maswali hela zinatoka wapi.
What do I say? Kuna shida ya uchumi kwa miaka kadhaa ijayo... umejipangaje?
Kutokana na yaliyotokea, hata Rais Samia amekiri kuwa tunaweza pata shida ya kupata hizi hela za nje kwa wakati huu ambao baadhi ya nchi, taasis na asasi zimetia doa uchaguzi wa Tanzania. Sasa kama ikitokea watu wote wakakataa kutoa mikopo na misaada maana yake tuna haja ya kuitafuta zaidi ya trilioni 16.02.
Nasema ni zaidi ya trilioni 16 kwa sababu kuna wizara mpya ambayo haikuwa kwenye bajeti ya 2025/26, wizara mpya ya Vijana, ambayo ikiwa na ctivities bila bajeti inaleta maswali hela zinatoka wapi.
What do I say? Kuna shida ya uchumi kwa miaka kadhaa ijayo... umejipangaje?