Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,973
Kila Binadamu anapitia nyakati mbalimbali ikiwemo Furaha na Amani ,ukiwa na Furaha mshukuru Mungu ujue umejariwa kipindi hicho na ndo wakati UNATAKIWA kuwafariji Wenye huzuni!
Lakini ukumbuke kuwa kipo kipindi cha huzuni Wenye Furaha na Amani ndo hujakukufariji nawe, ikiwa unawakwepa Wenye huzuni kisa una Furaha ukumbuke Dawa ya Moto ni moto!
Usitatue tatizo wakati unahasira hutaweza kupata suluhu, ukiona Magumu mengi yamekufika ndo wakati wa kuwa mtulivu kukabiriana changamoto!
Mungu ni wa kwanza kujaria njia njema,ukiamini inawezekana!
Lakini ukumbuke kuwa kipo kipindi cha huzuni Wenye Furaha na Amani ndo hujakukufariji nawe, ikiwa unawakwepa Wenye huzuni kisa una Furaha ukumbuke Dawa ya Moto ni moto!
Usitatue tatizo wakati unahasira hutaweza kupata suluhu, ukiona Magumu mengi yamekufika ndo wakati wa kuwa mtulivu kukabiriana changamoto!
Mungu ni wa kwanza kujaria njia njema,ukiamini inawezekana!