Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,573
- 164,444
Yaani Mama unaridhia ushauri uliopewa na wanaokusaidia kazi na kisha unatoa baraka zako utekelezaji uanze.
Baada ya hapo, unakaa unatulia na unaridhika kabisa kuona yanayoendelea huku ukijua wazi ni uonevu mkubwa.
Halafu ikifika siku ya Ibada, huyo msikitini unakwenda kusali na usiku unapata usingizi murua kabisa!
Watekelezaji
Hawa nao baada ya kupata baraka, wanaitisha kikao wanajadili namna ya kutekeleza mpango wao huku wakiju kabisa ni wa kutunga na ni wa uonevu mtupu!
Watu wazima hawa na mavitambi yao na manyota yao mabegani, wanaridhika kabisa kupanga uharamia huku ma-V8 yanawasubiri na wakimaliza hao wanaondoka wakiwakabidhi vijana mpango haramu wa kutekeleza.
Halafu siku za Ibada watu hawa wanabeba vitabu vitakatifu huku wakikaa katika viti/mabenchi ya mbele eti wanaenda kusali!
Ikitokea harambee ya kuchangia kanisa/ msikiti au mnada makanisani kwa lengo la kukusanya fedha, basi wao ndio hujitoa zaidi na watu wanawapa credit!
Nimemkumbuka na yule ambae aliekuwa akiingia kanisani, hujifanya mcha Mungu huku akihakikisha anapewa mic aongee na kujifanya mnyenyekevu mbele za Mungu kumbe nyuma ya pazia ni katili kupindukia(bora kaenda).
Hakika mambo mengine yataka moyo jamani!!!
Baada ya hapo, unakaa unatulia na unaridhika kabisa kuona yanayoendelea huku ukijua wazi ni uonevu mkubwa.
Halafu ikifika siku ya Ibada, huyo msikitini unakwenda kusali na usiku unapata usingizi murua kabisa!
Watekelezaji
Hawa nao baada ya kupata baraka, wanaitisha kikao wanajadili namna ya kutekeleza mpango wao huku wakiju kabisa ni wa kutunga na ni wa uonevu mtupu!
Watu wazima hawa na mavitambi yao na manyota yao mabegani, wanaridhika kabisa kupanga uharamia huku ma-V8 yanawasubiri na wakimaliza hao wanaondoka wakiwakabidhi vijana mpango haramu wa kutekeleza.
Halafu siku za Ibada watu hawa wanabeba vitabu vitakatifu huku wakikaa katika viti/mabenchi ya mbele eti wanaenda kusali!
Ikitokea harambee ya kuchangia kanisa/ msikiti au mnada makanisani kwa lengo la kukusanya fedha, basi wao ndio hujitoa zaidi na watu wanawapa credit!
Nimemkumbuka na yule ambae aliekuwa akiingia kanisani, hujifanya mcha Mungu huku akihakikisha anapewa mic aongee na kujifanya mnyenyekevu mbele za Mungu kumbe nyuma ya pazia ni katili kupindukia(bora kaenda).
Hakika mambo mengine yataka moyo jamani!!!