Tutadhibiti wafanyabiashara CCM-Nape

nngu007

JF-Expert Member
Aug 2, 2010
15,862
5,797
Na Juddy Ngonyani,Sumbawanga

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa kimeangalia upya njia ya kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojiunga na chama hicho na kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho

Akizungumuza katika mkutano wa chama hicho wenye lengo la kutoa ufafanuzi kuhusu nini maana chama hicho kujivua gamba mkoani Rukwa jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Bw. Nape Nnauye alisema kuwa uamuzi huo unatokana wafanyabishara hao kutumia uwezo walio nao kuendekeza vitendo vya rushwa ilikijipatia uongozi.

Alisema kuwa hiyo ni hatua moja wapo ya chama kujisafisha, huku akibainisha njia zitakazotumika kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho.

Bw. Nnauye alisema kuwa ilifika mahali waanachi wakapoteza imani na chama pamoja na viongozi wake jambo lililofanya chama hicho kurekebisha mambo mengi ikiwemo kutokomeza vitendo vya rushwa ama kwa wagombea na waachama ili kukirudisha chama katika mstari unaotakiwa.

Awali Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga mjini Bw. Aeshy Hillary pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Rukwa Bw. Hipolitus Matete waliipongeza hatua iliyochukuliwa na Halmashauri Kuu Taifa ya kuwaondoa wabadhilifu na wale wasio na maadili mema ndani ya chama hicho.

Hata hivyo Bw. Hillary alitumia nafasi hiyo pia kutoa msaada wa baiskeli kumi kwa baadhi ya walemavu washio katika manispaa hiyo.
 
Nape matatizo sio wafanya biashara matatizo ni Katiba ya Chama Chemu kijinufaisha ndani kwa ndani MAFIASO

Nchi nyingi duniani zina wafanyabiashara wakiziongoza na wametenganisha vizuri kabisa biashara na Siasa--- Mfano Waziri Mkuu wa Italy
Amerika Members of Congress wengi ni wafanyha biashara na wanajua kutenganisha biashara na Siasa
Hapo kwa jirani zetu wakenya the same thing

What is needed to be done is a stronger Constitions to safagauard it people... CCM melala kweli
 




Na Juddy Ngonyani,Sumbawanga

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa kimeangalia upya njia ya kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojiunga na chama hicho na kugombea nafasi mbalimbali za
uongozi ndani ya chama hicho

Akizungumuza katika mkutano wa chama hicho wenye lengo la kutoa ufafanuzi kuhusu nini maana chama hicho kujivua gamba mkoani Rukwa jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Bw. Nape Nnauye alisema kuwa uamuzi huo unatokana wafanyabishara hao kutumia uwezo walio nao kuendekeza vitendo vya rushwa ilikijipatia uongozi.

Alisema kuwa hiyo ni hatua moja wapo ya chama kujisafisha, huku akibainisha njia zitakazotumika kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho.

Bw. Nnauye alisema kuwa ilifika mahali waanachi wakapoteza imani na chama pamoja na viongozi wake jambo lililofanya chama hicho kurekebisha mambo mengi ikiwemo kutokomeza vitendo vya rushwa ama kwa wagombea na waachama ili kukirudisha chama katika mstari unaotakiwa.

Awali Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga mjini Bw. Aeshy Hillary pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Rukwa Bw. Hipolitus Matete waliipongeza hatua iliyochukuliwa na Halmashauri Kuu Taifa ya kuwaondoa wabadhilifu na wale wasio na maadili mema ndani ya chama hicho.

Hata hivyo Bw. Hillary alitumia nafasi hiyo pia kutoa msaada wa baiskeli kumi kwa baadhi ya walemavu washio katika manispaa hiyo.


May be macho yangu yanaona makengeza hapa
ni wabadhirifu gani wameondolewa kwenye chama au ile kutamka tuu ndio wameondolewa
 
Na Juddy Ngonyani,Sumbawanga

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa kimeangalia upya njia ya kuwadhibiti wafanyabiashara wanaojiunga na chama hicho na kugombea nafasi mbalimbali za
uongozi ndani ya chama hicho

Akizungumuza katika mkutano wa chama hicho wenye lengo la kutoa ufafanuzi kuhusu nini maana chama hicho kujivua gamba mkoani Rukwa jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Bw. Nape Nnauye alisema kuwa uamuzi huo unatokana wafanyabishara hao kutumia uwezo walio nao kuendekeza vitendo vya rushwa ilikijipatia uongozi.

Alisema kuwa hiyo ni hatua moja wapo ya chama kujisafisha, huku akibainisha njia zitakazotumika kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho.

Bw. Nnauye alisema kuwa ilifika mahali waanachi wakapoteza imani na chama pamoja na viongozi wake jambo lililofanya chama hicho kurekebisha mambo mengi ikiwemo kutokomeza vitendo vya rushwa ama kwa wagombea na waachama ili kukirudisha chama katika mstari unaotakiwa.

Awali Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga mjini Bw. Aeshy Hillary pamoja na Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Rukwa Bw. Hipolitus Matete waliipongeza hatua iliyochukuliwa na Halmashauri Kuu Taifa ya kuwaondoa wabadhilifu na wale wasio na maadili mema ndani ya chama hicho.

Hata hivyo Bw. Hillary alitumia nafasi hiyo pia kutoa msaada wa baiskeli kumi kwa baadhi ya walemavu washio katika manispaa hiyo.
Picha za mkutano huo ziko wapi?????????? Au aliongea na watoto wa shule??????????
 
Back
Top Bottom