Tutaacha lini kuwanyenyekea WAZUNGU???

Tutaacha lini kuwanyenyekea WAZUNGU???

Hahahah halafu mtani kwani hujasikia kuna muheshimiwa mmoja huko Kenya kamuamkia shikamoo Mh. Rutto, yote ni kuchachwa tu...wapekuzi kuja kupekuwa wamegundua huyo mwanamama ni mkubwa kwa mwaka mmoja kumzidi Rutto.

mtani mi nakuaminiaga kwa mapicha ya kipekuzi
hebu patia mimi picha ya madam president akiwa anampokea laura bush huku anapiga magoti!
mi huwa nachokaga mimi!
 
Hii picha inazungumza yote, hebu mwangalie kulia Mkurugenzi Idara Habari Maelezo Assah Mwambene na kushoto Afisa mawasiliano wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa unyenyekevu uliotukuka wakiwa wamejikunyata kama kuku aliyetoteshwa na mvua za vuli. Hapo walikuwa wakitoa zawadi ya shati kwa huyo mzungu Bw. David Wiggins.

Sasa zawadi watoe wao na bado wanakosa kujiamini...khaaa!!!

.


6---wiggins(kati)+Assah(kulia)+judith+mhina.JPG

Kama mkuu wa kaya anapewa vijisuti kuna nini tena?
 
njaa mbaya hata farasi wa kizungu unaweza kumwamkia shikamoo
 
Kwa kuwa zawadi ni ukarimu mkuu si ajabu haina bajeti...

Mkuu ka ilitolewa kiserikali, sio ajabu kulikua na kamati ya kujadili zawadi gani apewe na mtu wa kwenda kununua plus gharama ya usafiri.
 
mtani mi nakuaminiaga kwa mapicha ya kipekuzi
hebu patia mimi picha ya madam president akiwa anampokea laura bush huku anapiga magoti!
mi huwa nachokaga mimi!

Nimejitahidi kufanya upekenyuzi na ufukunyuku, nimeishia kupata hili photo hapa...hilo lako bado scanner inapekenyua...

bikikwete1.gif
 
Yaani jamaa kaapnda ndege kuja kuwafundisha Maafisa Mawasiliano Serikalini jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, Fickr na Blogs.

Kweli Tanzania tambarare, nchi ya Amani
Source: wavuti.com - wavuti
 
Hii picha inazungumza yote, hebu mwangalie kulia Mkurugenzi Idara Habari Maelezo Assah Mwambene na kushoto Afisa mawasiliano wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa unyenyekevu uliotukuka wakiwa wamejikunyata kama kuku aliyetoteshwa na mvua za vuli. Hapo walikuwa wakitoa zawadi ya shati kwa huyo mzungu Bw. David Wiggins.



Sasa zawadi watoe wao na bado wanakosa kujiamini...khaaa!!!




6---wiggins(kati)+Assah(kulia)+judith+mhina.JPG

Njaa tupu hiyo unadhani angelikuwa mzungu wa kubeba mizigo mgongoni kama watalii njaa toka ulaya angelijikunyata. Hapo kuna kitu anafukuzia! Au unadhani akaunti yake ingelikuwa na billions angelijikunyata!.
 
<font color="navy">Hii picha inazungumza yote, hebu mwangalie kulia Mkurugenzi Idara Habari Maelezo Assah Mwambene na kushoto Afisa mawasiliano wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa unyenyekevu uliotukuka wakiwa wamejikunyata kama kuku aliyetoteshwa na mvua za vuli. Hapo walikuwa wakitoa zawadi ya shati kwa huyo mzungu Bw. David Wiggins.<br />
<br />
Sasa zawadi watoe wao na bado wanakosa kujiamini...khaaa!!!<br />
</font>.<br />
<br />
<br />
6---wiggins(kati)+Assah(kulia)+judith+mhina.JPG

Inasemekana kuna siku JK alipewa suti na hao wazungu ila waweze wekeza kirahisi huku kwetu. Inawezekana na hao wanamuonga batiki ili wapewe uwekezaji huko ulaya.

Lazima watakuwa wametageti kitu siyo bure.
 
Nimejitahidi kufanya upekenyuzi na ufukunyuku, nimeishia kupata hili photo hapa...hilo lako bado scanner inapekenyua...

bikikwete1.gif

ngoja kwanza unataka kusema alivaa koti la chui chui na kilemba!
ebana mtani enh tukaombe kazi ya kumdesignia nguo huyu mama mwanaasha!ujue mi huwa sielewagi nguo zake!uliona aliyotupia siku anakuja rais wa china!mshono wa ule hata mabwe kwetu mafundi hawashoni jamani!mapandde siiita na kuchnganya changanya kitenge sijui!aaaaaaaagh! King'asti kuna kazi ikulu!
 
Last edited by a moderator:
Mie sioni kwenye hiyo picha kama kuna mtu ana nyenyekea mwingine. Ina wezekana mtoa mada na wanaoisapoti wamechanganya kati ya kunyenyekea na kuonyesha ukarimu na maadili mazuri kwa mgeni ambaye umemtunukia zawadi
 
Hii picha inazungumza yote, hebu mwangalie kulia Mkurugenzi Idara Habari Maelezo Assah Mwambene na kushoto Afisa mawasiliano wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa unyenyekevu uliotukuka wakiwa wamejikunyata kama kuku aliyetoteshwa na mvua za vuli. Hapo walikuwa wakitoa zawadi ya shati kwa huyo mzungu Bw. David Wiggins.

Sasa zawadi watoe wao na bado wanakosa kujiamini...khaaa!!!
.


6---wiggins(kati)+Assah(kulia)+judith+mhina.JPG

Jamaani eee, duniyani watu kupeana (zawadi) Give and Take !!
Hivyo hataukipita shambani huambulia tunda au kiazi!!
Na hao wazungu nao huletaga kipya kinyemi !! je tumesahau?
 
Maelezo yako ni kama najaribu kiyaelewa lakini yananitatiza...

Jamaani eee, duniyani watu kupeana (zawadi) Give and Take !!
Hivyo hataukipita shambani huambulia tunda au kiazi!!
Na hao wazungu nao huletaga kipya kinyemi !! je tumesahau?
 
Back
Top Bottom