Tuta au kibao cha zebra Barabara ya Nyerere Nata Bugando

Tuta au kibao cha zebra Barabara ya Nyerere Nata Bugando

KING 360

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2016
Posts
3,002
Reaction score
5,201
Wakuu
Salamu kwenu

Natoa ushauli kwa selikaki kuhusu hii balabala ya Nyerere ususani eneo hili la nata kwa wale wenyeji wa Mwanza wanapafahamu ni karibu na Mwanza sec school hili eneo ni hatari sana kwa wavukaji wa balabala tulishapoteza ndugu zetu eneo hili kwa kugogwa na magari ni eneo ambalo linahitaji zebra niwaombe wahusika waweke alama ya zebra ama tuta maana ni sehem inayopitisha magari mengi chakusikitisha wameweka uku juu shule ya msingi Bugando wakashindwa kuweka apo nata ambapo ni sehemu hatari hivi wahusika mnafanya mzaa na maisha ya watu
Nawasilisha
 
Hapo panatakiwa kuwe na "roundabout" hapo kuna magari ya Uhuru, Bugando hospital, kuelekea pale picha ya Nyerere-Igoma. Kuna pikipiki, magari na watu wengi kwa muda wote. Kuna jambo la kufanya hapo


Wakuu
Salamu kwenu

Natoa ushauli kwa selikaki kuhusu hii balabala ya Nyerere ususani eneo hili la nata kwa wale wenyeji wa Mwanza wanapafahamu ni karibu na Mwanza sec school hili eneo ni hatari sana kwa wavukaji wa balabala tulishapoteza ndugu zetu eneo hili kwa kugogwa na magari ni eneo ambalo linahitaji zebra niwaombe wahusika waweke alama ya zebra ama tuta maana ni sehem inayopitisha magari mengi chakusikitisha wameweka uku juu shule ya msingi Bugando wakashindwa kuweka apo nata ambapo ni sehemu hatari hivi wahusika mnafanya mzaa na maisha ya watu
Nawasilisha
 
Hapo panatakiwa kuwe na "roundabout" hapo kuna magari ya Uhuru, Bugando hospital, kuelekea pale picha ya Nyerere-Igoma. Kuna pikipiki, magari na watu wengi kwa muda wote. Kuna jambo la kufanya hapo
Nakubaliana na ww Mkuu hii balabala inapitisha magari mengi sana
 
Kweli kabisa hapo Nata panahitaji tuta kali pamoja na zebra pande zote tatu,upande wa msikiti kwenda igoma,upande wa Nata kwenda mjini na upande wa Agakhan kuja Igoma.nimepita Leo kidogo nipate ajali ya Boda Boda.natumai wakuu wanatusikia
 
Kweli kabisa hapo Nata panahitaji tuta kali pamoja na zebra pande zote tatu,upande wa msikiti kwenda igoma,upande wa Nata kwenda mjini na upande wa Agakhan kuja Igoma.nimepita Leo kidogo nipate ajali ya Boda Boda.natumai wakuu wanatusikia
Mkuu mshukuru Mungu kakuepusha na hyo ajari hii sehemu ni hatari sana kwa watumiaji pande zote ulizotaja
 
Back
Top Bottom