Tusker Lager Kushnehi!!!

Tusker Lager Kushnehi!!!

Tusker Bariiiidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2007
Posts
5,554
Reaction score
2,158
Happy Karume Day waungwana,Kama mdau wa Tusker Lager nimesikitishwa kukosekana kwa kinywaji hiki murua katika Bar na Grocery maeneo mengi ya jijini Dar,kuanzia mwishoni wa mwezi wa tatu na sasa hali imekuwa ngumu kweli kwani mpaka uende Bar au Grocery za vichochoroni au zile zilizokuwa na stock ya zamani ndio upate kinywaji hiki murua.Kama kuna mdau wa TBL humu katika jukwaa la JF atupe mwanga kidogo...Maana karibu wengine tutapoteza Identity yetu.
 
Ndugu yangu,

Yaani ni uonevu mtupu!

Sijui yaani nijaribu Safari!!!!!

Wasipoirudisha haraka mimi ntahamia zangu Nairobi!
 
Happy Karume Day waungwana,Kama mdau wa Tusker Lager nimesikitishwa kukosekana kwa kinywaji hiki murua katika Bar na Grocery maeneo mengi ya jijini Dar,kuanzia mwishoni wa mwezi wa tatu na sasa hali imekuwa ngumu kweli kwani mpaka uende Bar au Grocery za vichochoroni au zile zilizokuwa na stock ya zamani ndio upate kinywaji hiki murua.Kama kuna mdau wa TBL humu katika jukwaa la JF atupe mwanga kidogo...Maana karibu wengine tutapoteza Identity yetu.

..........hahaha poleni sana wakulu, juzi nilienda pupu moja ya waafrica (Victoria Pub) hapa UK nikashangaa kuwakuta wakenya wanapata TUSKER. ikabidi niulize walisafiri au? ndipo wakaniambia hii bidhaa ipo siku zote hapa. Inawezekana soko limehamia UK wakuu poleni sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom