Kuna watanzania wengi sana waliodhulumiwa uhai, waliojeruhiwa na waliotekwa na kuteswa na hawa WASIOJULIKANA. Swali LA kujiuliza hapa ni kwamba: mbona WAATHIRIKA wote wana mlengo mmoja? Wote ni wakosoaji wa serikali. Kwanini?
Watanzania siyo wajinga.
Kule Rwanda kuna INTERAHAMWE, Burundi kuna MBONERAKULE, Zanzibar kuna MAZOMBI. Makundi yote haya yanafanya kazi kwa mtindo, malengo na nia sawa na iWASIOJULIKANA. Na yote yana kinga dhidi ya mkono wa dola.
Tena hao interahamwe wamaekuwa wakiwafuatilia wapinzani wa PK hata nje ya nchi na kuwaua.
Watanzania siyo wajinga.
Muda utaongea.
Watanzania siyo wajinga.
Kule Rwanda kuna INTERAHAMWE, Burundi kuna MBONERAKULE, Zanzibar kuna MAZOMBI. Makundi yote haya yanafanya kazi kwa mtindo, malengo na nia sawa na iWASIOJULIKANA. Na yote yana kinga dhidi ya mkono wa dola.
Tena hao interahamwe wamaekuwa wakiwafuatilia wapinzani wa PK hata nje ya nchi na kuwaua.
Watanzania siyo wajinga.
Muda utaongea.