Hapana Mkuu tusiwatume kufanya hayo sababu tunapaswa kuwalea na kuwafundisha kama wadogo zetu... lkn pia tusiwanyime haki ya likizo ya kwenda kusalimia majumbani kwao...
Kama ni mimba anaweza pewa huko huko ndani ulipomfungia aidha na mume au mtoto wa kiume au housboy kama unaye....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.