unkown_member
Member
- Jan 31, 2018
- 27
- 32
Katika pita pita zangu nikiwa kama kidume rijali mwaka jana mwezi wa sita nilitapa ajali! Nilipata bahati mbaya ya condom kupasuka basi baada ya kupasuka nikamaliza kula tunda nikamwambia bibie tukapime nikiwaza ili nianze kugegeda kavu kavu!
Looh kumbe bibie ameungua (ni anaishi na maambukizi).
Nilichanganikiwa nikawaelezea manesi pale nikapewa mzigo wa PEP dose ya siku 28!!
Namshukuru MUNGU juzi( 15/4/2018) nimepima kwa mara ya mwisho majibu ni negative!
Yatokanayo!!
1. Kipindi hicho kilikuwa kigumu saana kwa kweli. Sikumsimulia mtu yeyote ilikuwa siri yangu. Nilikuwa mtu mwenye mawazo saana!
2. Dawa hizo za PEP ni kali mno zina nguvu mno na pia zinalevya saana ukiacha ndoto za mawenge na njaa!!
Hitimisho.
1. Kutoka mwaka jana mwezi sita sijawahi kuwa na hamu ya Papuchi tena. Tusipime kwa macho wakuu!! Yaani yule binti ukimwona kwa macho hautoamini ana maambukizi!! Ni mnene, pia ana chura wa kutisha!!
Tusipime kwa macho mazee!!
2. Wenye maambukizi ya VVU ni watu waliopo katika wakati mgumu mno!! Kipindi hicho natumia PEP nilipata funzo zuri! Niwaombe kuwa watu hawa wenye VVU tuwapende kwani wanahitaji upendo na faraja wa dhati. Tuwapende na tuwasaidie.
3. Tusiwanyanyapae hata kidogo
Looh kumbe bibie ameungua (ni anaishi na maambukizi).
Nilichanganikiwa nikawaelezea manesi pale nikapewa mzigo wa PEP dose ya siku 28!!
Namshukuru MUNGU juzi( 15/4/2018) nimepima kwa mara ya mwisho majibu ni negative!
Yatokanayo!!
1. Kipindi hicho kilikuwa kigumu saana kwa kweli. Sikumsimulia mtu yeyote ilikuwa siri yangu. Nilikuwa mtu mwenye mawazo saana!
2. Dawa hizo za PEP ni kali mno zina nguvu mno na pia zinalevya saana ukiacha ndoto za mawenge na njaa!!
Hitimisho.
1. Kutoka mwaka jana mwezi sita sijawahi kuwa na hamu ya Papuchi tena. Tusipime kwa macho wakuu!! Yaani yule binti ukimwona kwa macho hautoamini ana maambukizi!! Ni mnene, pia ana chura wa kutisha!!
Tusipime kwa macho mazee!!
2. Wenye maambukizi ya VVU ni watu waliopo katika wakati mgumu mno!! Kipindi hicho natumia PEP nilipata funzo zuri! Niwaombe kuwa watu hawa wenye VVU tuwapende kwani wanahitaji upendo na faraja wa dhati. Tuwapende na tuwasaidie.
3. Tusiwanyanyapae hata kidogo
maana kipimo cha HIV huangalia kinga ya mwili na sio kirusi