AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,519
Unajua watu tunatofautiana perceptions. Ndio maana kuna tafsiri mbalimbali za maendeleo.
Kwa sababu inategemea na point of view ya mtu.
Kwahiyo utendaji wa mtu inategemea mnategemea nini kwenye utendaji wake.
Ukiangalia utendaji kazi wa Makonda, Chalamila yule wa Katavi kuloga watu wapige kura na wengine kama hak. Unaweza ukasema katika watendaji hovyo kabisa ni hao.
Na wengi tunamuona anthony mtaka ndio kiongozi bora. Kweli kabisa kwenye macho yetu.
Lakini kwenye macho ya aliyewaajiri ni tofauti kabisa. Yaani vice versa.
Angalia interview yoyote ya makonda na wenzake akina muro...Haijawahi tokea wasiseme neno bila kumtaja boss wao. Yaani boss wao ndio mungu wao.
Na hicho boss wao ndio anapenda. Viongozi ambao watamsifia na kumuacha kila kitu afanye yeye...Ndio maana hata ccm wameliona hilo...Na ndio maana wanafanya hivyo...Sio kwamba hawaoni makosa yoyote.La hasha Ila ndio wanacheza na mziki wa mkuu wao.
Kwahiyo mkitaka mkune akili ya mzee ni mumsifie na mumtukuze tu mtaona mambo mengi mazuri...Ambalo wengi wengi ambao hatuna wa kumtukuza zaidi ya allah tu na mitume wake.
Hamjawahi jiuliza kwanini kwa utendaji bora wa mtaka kwanini asimpromote...Au asimwamishe kwenye mikoa yenye changamoto kama dar es salaam. Na huyu aliyeko huko dar akapewa kazi nyingine kwa mfano ile kazi ya msemaji wa serikali...Hio ndio inamfaa sana.
Kwahiyo tusiwalaumu hawa viongozi wanaofanya blandaz...Hizo blandaz ni dhahabu mbele ya macho ya boss wao.
Wanacheza kulingana na beat ya boss wao.
Ukiona tbc wanasifia tu ujue ndio boss anataka hivyo.
Ukiona bungeni wanasifia tu.
Ukiona wanaoitwa viongozi wa dini wanatukuza...Ujue ndio boss anataka hivyo.
Ukiona makongamano ya sifa na utukufu...Ndio boss anapenda hivyo.
Tusiwalaumu.
Wallaaahi, Mtu anayependa sifa na utukufu hivi...Atafikia level za firauni hivi karibuni kujiita mungu kabisa.
Kwa sababu inategemea na point of view ya mtu.
Kwahiyo utendaji wa mtu inategemea mnategemea nini kwenye utendaji wake.
Ukiangalia utendaji kazi wa Makonda, Chalamila yule wa Katavi kuloga watu wapige kura na wengine kama hak. Unaweza ukasema katika watendaji hovyo kabisa ni hao.
Na wengi tunamuona anthony mtaka ndio kiongozi bora. Kweli kabisa kwenye macho yetu.
Lakini kwenye macho ya aliyewaajiri ni tofauti kabisa. Yaani vice versa.
Angalia interview yoyote ya makonda na wenzake akina muro...Haijawahi tokea wasiseme neno bila kumtaja boss wao. Yaani boss wao ndio mungu wao.
Na hicho boss wao ndio anapenda. Viongozi ambao watamsifia na kumuacha kila kitu afanye yeye...Ndio maana hata ccm wameliona hilo...Na ndio maana wanafanya hivyo...Sio kwamba hawaoni makosa yoyote.La hasha Ila ndio wanacheza na mziki wa mkuu wao.
Kwahiyo mkitaka mkune akili ya mzee ni mumsifie na mumtukuze tu mtaona mambo mengi mazuri...Ambalo wengi wengi ambao hatuna wa kumtukuza zaidi ya allah tu na mitume wake.
Hamjawahi jiuliza kwanini kwa utendaji bora wa mtaka kwanini asimpromote...Au asimwamishe kwenye mikoa yenye changamoto kama dar es salaam. Na huyu aliyeko huko dar akapewa kazi nyingine kwa mfano ile kazi ya msemaji wa serikali...Hio ndio inamfaa sana.
Kwahiyo tusiwalaumu hawa viongozi wanaofanya blandaz...Hizo blandaz ni dhahabu mbele ya macho ya boss wao.
Wanacheza kulingana na beat ya boss wao.
Ukiona tbc wanasifia tu ujue ndio boss anataka hivyo.
Ukiona bungeni wanasifia tu.
Ukiona wanaoitwa viongozi wa dini wanatukuza...Ujue ndio boss anataka hivyo.
Ukiona makongamano ya sifa na utukufu...Ndio boss anapenda hivyo.
Tusiwalaumu.
Wallaaahi, Mtu anayependa sifa na utukufu hivi...Atafikia level za firauni hivi karibuni kujiita mungu kabisa.