Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,031
- 4,236
Habari za muda huu ndugu zangu.
Nimepita katika media nyingi tangu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ateuliwe kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi CCM Paul Makonda.
Kwabahati mbaya zaidi uteuzi wake umekuwa na scenario nyingi sana kwanini?
Ukisoma habari nyingi zenye kumhusu yeye kwenye uwanja wa comments wengi wamekuwa wakimtukana, wakimkosoa, wakimtupia vijembe mbaya zaidi wengine wamefikia hatua ya kufukua makaburi kabisa kwa mambo yake yaliopita.
Makonda ni binaadamu kama wengine yeye pia anakosea kama wengine...hakuna haja ya kumfanya kama kiumbe mwengine kana ya kwamba akosei la hasha!!
Napendekeza makonda apewe ushauri,arekebishwe kiustaarabu na akosolewe kwa hoja madhubuti ili kumjenga kifikra
Tumeshuhudia wengi wamekosea mbona tuliwasamehe? Kwanini makonda asisamehewe?
Yeye ni nani? Ana nini? Na kwanini ? Mpaka nyuzi zaidi ya 10 la jukwaa la siasa ni za kumtusi na kumkejeli?
Ushauri wangu kwa makonda
Huu ni muda wa kuwa mpole na asivimbe tena na madaraka hata hivyo ajue kuwa waliokuwa chini yake wapo waliomzidi umri na hekima zaidi yake hivyo azingatie heshima na busara katika kuwaamrisha kutekeleza majukumu yao
Naomba wenye ushauri, mapendekezo,maoni na dukuduku tumshauri makonda apate kujirekebisha
NB:mm sio CCM na sitokuja kuwa CCM ila kuna protocol Fulani za uongozi naona makonda anazo
Kuna mwalimu wangu mwaka 1994 alikuwa nasema "Hakuna uongozi pasipo ukakamavu na hakuna demokrasia pasiko na udikteta" hii nimekuja kuielewa kuanzia 2015-to.......?
#Binaadam wote tunakosea#
Nitarudi.
Nimepita katika media nyingi tangu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ateuliwe kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi CCM Paul Makonda.
Kwabahati mbaya zaidi uteuzi wake umekuwa na scenario nyingi sana kwanini?
Ukisoma habari nyingi zenye kumhusu yeye kwenye uwanja wa comments wengi wamekuwa wakimtukana, wakimkosoa, wakimtupia vijembe mbaya zaidi wengine wamefikia hatua ya kufukua makaburi kabisa kwa mambo yake yaliopita.
Makonda ni binaadamu kama wengine yeye pia anakosea kama wengine...hakuna haja ya kumfanya kama kiumbe mwengine kana ya kwamba akosei la hasha!!
Napendekeza makonda apewe ushauri,arekebishwe kiustaarabu na akosolewe kwa hoja madhubuti ili kumjenga kifikra
Tumeshuhudia wengi wamekosea mbona tuliwasamehe? Kwanini makonda asisamehewe?
Yeye ni nani? Ana nini? Na kwanini ? Mpaka nyuzi zaidi ya 10 la jukwaa la siasa ni za kumtusi na kumkejeli?
Ushauri wangu kwa makonda
Huu ni muda wa kuwa mpole na asivimbe tena na madaraka hata hivyo ajue kuwa waliokuwa chini yake wapo waliomzidi umri na hekima zaidi yake hivyo azingatie heshima na busara katika kuwaamrisha kutekeleza majukumu yao
Naomba wenye ushauri, mapendekezo,maoni na dukuduku tumshauri makonda apate kujirekebisha
NB:mm sio CCM na sitokuja kuwa CCM ila kuna protocol Fulani za uongozi naona makonda anazo
Kuna mwalimu wangu mwaka 1994 alikuwa nasema "Hakuna uongozi pasipo ukakamavu na hakuna demokrasia pasiko na udikteta" hii nimekuja kuielewa kuanzia 2015-to.......?
#Binaadam wote tunakosea#
Nitarudi.