Tusimame na Iran na Qatar

Marekani ilishanunuliwa na saud,
hukusikia ule mkwara wa saud kununua silaha marekani za Usd bilion 200?,
hakuna nchi itaachia deal kubwa kiasi hicho,na kazi aliyopewa marekani ni kufanya regime change iran,ili waarabu wajisikie amani,kwani wanahofu persian empire itawameza kama zamani,ukichukulia iran sasa inacontrol iraq,syria,lebanon na kiasi yemen.

Pia waarabu wana hofu na ottoman empire,wanaona Endorgan nae ameanza kueneza himaya yake,
so israel nao wamepewa kazi ya kummaliza endorgan,ndo maana juzi wamemkosa kosa kule bosnia hezgovena
 
Zitto mimi ni pro democracy na sifikiri Iran wana nia nzuri. Ukiangalia vizuri middle East kuna matatizo makubwa . Wote Saudi na Iran ni tatizo kwasababu wana nia mbaya ya kuwa na utawala usio wa kidemokrasia. Iran utawala wa Shia na Saudi suni. Atomic bomb ya Iran ni kwasababu tu ya kuzuia mabadiliko ukifikiria vizuri nuklia ya nini wakati wana gas, mafuta etc. Hivyo kama tunataka mabadiliko middle East ni kukataa muundo wa utawala wa Saudi na Iran kwa ujumla na sio kuwa upande mmoja maana wote ni tatizo. Nchi ambayo wanawake wanafanya kama bidhaa tu sio utamaduni tunaoutaka kwa dunia ya leo kwa kweli.
 
Vilevile kwenye nchi nyingine kama Libya mabadiliko yanachukua muda, watu kubadilika kunachukua muda, hata demokrasia zetu mwanzo zilionekana bora wazungu sio
 
Ya kwetu yametushinda ya wenzetu yanatuhusu nini? wapamabane na hali zao nasi tupambane na yetu:
demokrasia ya kweli hakuna
uonevu
kubambikia wapinzani kesi za uongo
Wizi wa kura
gilba
fitna
upendeleo
ukanda nk
 
There are still many we will see

let's just wait time will tell
 
Wakristo wengi wanatetea wayahudi japo si dini yao lakini kutokana na umbumbumbu uliojaa miongoni mwetu tunashindwa kutofautisha. Wale ni wayahudi wakatili wanatesa wapalestina na watu wanafumba macho. Laaanatullah alayhim
 
Sijasoma maelezo yote ya post ya kwanza ya uzi huu, lakini ningependa kuwafahamisha wanaJF kuwa ninashauri kwa ,wakati huu, Serikali yetu ijikite kwenye kutekeleza yale tu ambayo yamekubaliwa na mamlaka halali za kimataifa yaani yaliyomo kwenye UN charter na yale yaliyokubaliwa na UNSC kama 'resolutions'. Suala la mashariki ya kati kwa wakati huu pia ni 'volcano inayofukuta' na ikilipuka inaweza kuizamisha sehemu kubwa ya dunia hii. Hivyo hatutakiwi kuchezea karibu na fukuto hili la volcano. Kwa maneno mengine...ule utaratibu wetu wa kutokuwa na upande ni muhimu sana. Non-aligned movement ni muhimu wakati huu wakati tukitekeleza yale yaliyokubaliwa na mamlaka halali za kimataifa.
 
Iran na Qatar wanatusaidia nini...tunasimama nao wa nini hasa! Zitto kapambane mkoa wa kigoma watu wasome, wale vizuri, wawe na nyumba nzuri, wavae vizuri na watibiwe vizuri basi. Mengine kaa kimya
 
Wakristo wengi wanatetea wayahudi japo si dini yao lakini kutokana na umbumbumbu uliojaa miongoni mwetu tunashindwa kutofautisha. Wale ni wayahudi wakatili wanatesa wapalestina na watu wanafumba macho. Laaanatullah alayhim
We unaeleta dini humu ndio huna akili kabisa. Hio research umefanyia wapi unaleta mihemko hapa! Dini yako hainisaidii wala yangu hakusaidii. Imani za wakoloni ambazo umekopi na kubandika kichwani mwako zimekufanya akili igande.
 
Acha kujichanganya ndugu yangu!
 
Iran na Qatar wanatusaidia nini...tunasimama nao wa nini hasa! Zitto kapambane mkoa wa kigoma watu wasome, wale vizuri, wawe na nyumba nzuri, wavae vizuri na watibiwe vizuri basi. Mengine kaa kimya
True
 
We unaeleta dini humu ndio huna akili kabisa. Hio research umefanyia wapi unaleta mihemko hapa! Dini yako hainisaidii wala yangu hakusaidii. Imani za wakoloni ambazo umekopi na kubandika kichwani mwako zimekufanya akili igande.
Hahahaha
 
Zitto atetee democracy ktk nchi kwani hata yeye hapo alipo, kwa jukumu lake kama mpinzani, hajui kwa uhakika kama ataiona siku ya kesho..

Hawa sijui Iran, Qatar nk hawana kabisa muda na mambo yetu wala hata Ebola ikituvamia leo, hatutawasikia kamwe labda wasikie waislamu kadhaa wameshambuliwa msikitini, ndio watashindana kulaani.

Nchi kama South Africa, Mozambique nk leo wanajiona wako huru kwa ajili ya sisi kuwafia lkn leo Mtanzania akiwa kwenye nchi hizo ni mgeni au adui kuliko Mkenya aliyeko huko....!!!! In short, ya nje hayatuhusu saaana kihivyo kama na yetu yasivyowanyima usingizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…