Tusifanye mapenzi kwa kukariri

na kweli leo wanaume mmepatikana,. kwa wapendwa style nyingine nasikiaga ni mwiko! only mende kafariki....lol


Hapo kwenye red ulikua una maanisha nini?
Wapendwa ni watu gani na wana uhusiano gani na topic tajwa hapa?

 
Mkuu Speaker vipi wewe unabadilika badilika au ndo waleee!!!!!!!!!
 
si wewe hata mm naiwah Falcon nasikia cameroon na tstarz wameanza., poa wah bwana

yeah,wameanza,me nasubiri Mali n Nigeria,then Spain vs Uruguay,England vs Brazil,Italy vs Netherlands
 
he he he,me sijaoa bana.
lla ikitokea bahati mbaya nikafanya dhambi nakua mchumi ngono kweli.
Sitaki kufa mapema. (Hidden truth inside)

You say "(Hidden truth inside)".
 
Kweli kabisa!

 
Mkuu, umenichekesha sana, mi kuna favourite style yangu nimeshamzoesha waifu kiasi kwamba baada ya foreplays waifu anawahi tu mwenyew kukaa ule mkao, teh, teh, teh, inabidi nibadilike.
 
Mkuu, umenichekesha sana, mi kuna favourite style yangu nimeshamzoesha waifu kiasi kwamba baada ya foreplays waifu anawahi tu mwenyew kukaa ule mkao, teh, teh, teh, inabidi nibadilike.
 
Mi nilishakatazwa kufanya matusi



Matusi hayafanywi...labda sema umestaafu kuwajibika kwa sababu uzijuazo wewe mwenyewe. Kuwajibika anawajibika mlokole na padri sembuse wewe? Acha hizo, ile ndiyo raha ya dunia bwana. Kuna sababu Mungu alituumba na kutupa hizo zana za kuchapa kazi (jembe na shamba), mengine yote hayo ni kujinyima raha tu kwa kujiwekea kanuni potofu.

Msaada wangu kwako: Jiepushe na walokole pamoja na nyimbo za dini zisizokusaidia kitu utaona raha ya dunia kwani furaha ujipatie mwenyewe na hakuna mwenye mamlaka ya kukupa furaha wewe isipokuwa wewe mwenyewe.
 
Mkuu, umenichekesha sana, mi kuna favourite style yangu nimeshamzoesha waifu kiasi kwamba baada ya foreplays waifu anawahi tu mwenyew kukaa ule mkao, teh, teh, teh, inabidi nibadilike.


Hii ni dalili ya hatari. Yes, hatari kwani wife wako keshakuzoea hivyo inakuwa rahisi kwake kwenda nje kutafuta njia mbadala. Ndipo hapa utakuta muuza maji anajipigia kiulainiiii:confused2:
 
Ngoja nimwite mke wangu tusome wote.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…