Tusidanganyane, pesa ina mashetani

je, usipochukua mkopo?
 
Ebu tufahamishe vzr kuhusu siri hiyo.

#MaendeleoHayanaChama.
 
Why by default pesa isiheshimiwe wakati ndo kitu kinatafutwa na watu daily?
Ni kinyume chake, pesa inapaswa ikuheshimu vinginevyo utasumbuliwa sana na pesa. Hapo ndipo watu wanapokosea.
 
Hakuna kitu kama hicho, ni imani yako tu...mbona hujaelezea wale wanaochukua mikopo na kuinvest na kutajirika?

Wewe umeongelea tu kwa upande wa wanaoshindwa, kuna wengi wanatumia pesa vizuri na kufanikiwa.
na mimi nimemshangaa
 
Vipi kwa wale wanaopata pesa na kwenda kujirusha na michepuko ilihali nyumbani watoto hawajui watakula Nini nao pesa Yao inamapepo????😂😂
 
mkuu pesa ni makaratasi yalopewa thamani ili yatumike katka thaman yakulipia vitu, hapo sijaona ushetani wa pesa...

ushetani unaouhusisha na pesa unakuja hivi binadam anavita kuu na shetani katk ulimwengu huu, lengo la shetani nikumuona mwanadam mwenye dhiki na matatizo kila uchao ndo maana kupitia washirika wake wachawi anatusababishia majanga kila tupatapo pesa...

chakufanya unapaswa umdhibiti shetan ktk ulimwengu wa roho kwa mujibu wa imani yako.

na hii vita ya shetani dhidi yetu ni endelevu hivo mapambano ni yakila siku, hivo unachopaswa kujua mharibifu na mtesi mkubwa wa mwanadam ni shetani na washirika wake.
 
Siri ya pesa anayo tunayempinga kila siku kwenye dini zetu.Nasikia waswaili wanasema aliyegundua pesa alikufa akiwa maskini.
 
Kama ilivyo ardhi na anga

Giza na nuru

Mchana na usiku

Mvua na jua

Vile vile kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa kawaida wa mwili

Ili kitu kitokee katika ulimwengu wa mwili laZima kwanza kitokee katika ulimwengu wa roho na ukikubali kule kwanza kabla ya kitu hicho kutokea ktk ulimwengu wa mwili..

Watu wengi wanautaka utajiri ktk ulimwengu wamwili lkn ktk ulimwengu wa roho ni either wameukataa wanaona utajiri ni ushetani au wameaminishwa kuukataa na vitabu vya dini toka wapo wadogo au wamefungwa kuwa maskini ktk ulimwengu ule wa roho.
Watu hao watakuwa na juhudi nyingi sana za kuutaka utajiri lkn kamwe hawataupata....

Na itaonekana km wana ukaribia kbs utajiri lkn utawaponyoka kirahisi sana lkn siku watakayomini utajiri sio ushetan,wakaamini wanastahili kuwa matajiri deep down kutoka moyoni basi utajiri utaibuka kama miujiza,pesa zitakuja na kukaa mda mrefu sana bila kuondoka kwa njia za ajabu ajabu

Imani bila matendo ni bure sasa kadri unavyoteseka kuutafuta utajiri km hujafungwa popote pale basi kuna siku moyo wako kwa ndani kabisa utaamini unashahili kiwa tajiri kutokea hapo pesa itakutafuta....

Kuna watu wanaota ubaya kabla haujaja mimi ni mmoja wapo pale unakuta kuna mtu anataka kupanga hatma yangu ktk ulimwengu wa roho ili ije itokee ktk ulimwengu wa mwili
 
Kusema ukweli M/Mungu kukataza riba kupitia vitabu vya
vyake hakukosea. Maana mikopo ya riba huwa na laana na iwapo utachukua basi ni mabalaa juu ya mabalaa yatakuandama.
Mwandishi huo uzi wako kuna wengine watapinga lakini mimi nawaambia wajaribu waone na wajiandae kuchanganyikiwa.
 
Hakuna Pesa Yenye Mashetani
Ila Wengi wetu 90% hatujui matumiz ya pesa we fikiria mru unachukua mkopo wa harusi,biashara,kununua gari huu ni wehu tuu lazima pesa uione ina mashetani
 
Mkuu hela ya mikopo ya RIBA hasa riba ikiwa kubwa limefananishwa na:
1.Kupigana vita na Mwenyezi Mungu
2.Imefananishwa na kuzini na mtu na mamayake.
3.Ufisadi katika jamii
hivyo fedha hizi huwa hazina baraka na matokeo yake utakuta nyumba zinaungua,gari inapata majanga
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…