Hbr za pililkapilika wana jf
leo ningependa kushare madaktari bingwa wa watoto kutokana na uzoefu kwa kutibiwa au kusikia
kwa upande wangu daktari namba 1 nikikwama kabisaa kwny hosptal za kawaida huwa naenda posta (dsm) hosp ya "dar group " dr anaitwa hasanal
mnaweza mkatupia wenu
leo ningependa kushare madaktari bingwa wa watoto kutokana na uzoefu kwa kutibiwa au kusikia
kwa upande wangu daktari namba 1 nikikwama kabisaa kwny hosptal za kawaida huwa naenda posta (dsm) hosp ya "dar group " dr anaitwa hasanal
mnaweza mkatupia wenu