Habari za muda huu wakuu!
Mimi ookla speed test yangu inaonesha kama inavoonekana kwenye picha apo.
Naomba wajuzi mnisaidie kutafasiri hayo majibu kitalaam.
Ahsanten!
Naridhika bt kuna muda inakuwa slow sana mkuu, so kama kuna namna ya kufanya ili kuiboost nisaidie maelekezo mkuu.
Mdamwingine inanisumbua sana wakati nacheki game.
Naridhika bt kuna muda inakuwa slow sana mkuu, so kama kuna namna ya kufanya ili kuiboost nisaidie maelekezo mkuu.
Mdamwingine inanisumbua sana wakati nacheki game.